...

Tamu Lyrics by Zaituni Wambui


Nimependwa nikapendeka Wanasema nimerogwa Sina noma

Ananifaa

Ananifaa mimi ananifaa mimi

Ananipea mahaba kwa wingi

Hanipimiii ananipea yote yote

Kashaamua kunipenda misimu yote yeah

Naamini ashapata ubavu wake

Na ni mimi hapa habanduki

Eeh eeh eeh

Tam tam tamu sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tam sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tam sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tam sana mapenzi tamuuu

Ninamjua ananijua

Ananielewa Zaidi ya anayenijua

Na nikinuna ananituliza

Ananibemebeleza roho inatulia

Ananiamini, Ninamuamini

Hatuna siri twaendana, shilingi kwa ya pili

Na sio siri

Sio siri

Kupendwa raha

Kupendwa tatatatam

Tam tam tamu sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tamu sana mapenzi tamuuu

Tam tam tamu sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tamu sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi ni tamu sana

Inadonjo inadonjo tu vibaya

Amini usiamini

Niliapa sitawahi penda mwingine

Ona sasa

Nikiwa na yeye haunipati na nikiwa na yeye haumpati

Na nikiwa na yeye it’s a party

Nikiwa na yeye hakutaki

Na nikiwa na yeye sikutaki eeeh

Tam tam tamu sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tam sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tam sana mapenzi tamuuu

Tamu sana mapenzi

Tam tam tam sana mapenzi tamuuu

Watch Video

About Tamu

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Aug 03 , 2025

More Zaituni Wambui Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl