WYSE Peke Yako cover image

Peke Yako Lyrics

Peke Yako Lyrics by WYSE


Kwenye kitabu changu cha mapenzi
Kurasa ya kwanza iko picha yako wewe
Kutwa naomba kwa mwenyezi
Nisije kukukwaza ukaniacha mwenyewe

Umeuviringisha moyo wangu
Siwezi bisha ee 
Umetakatisha akili yangu
We ndo wa maisha oh wee

Hata kama wakisema
Sitajali kamwe
Chanda changu chema
Kitavikwa nawe

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Mimi kama nikikosa unanipa moyo
Unanisihi tusichoke kutafuta
Tulivyo kama mapacha tukiwa wote
Shida zangu ndio zako zikinikuta

Ukiniangalia mwenzako nyang'anyang'a 
Sitokuachia mwenzako nitang'ang'ana
Sitokuachia mwenzako nitang'ang'ana
Nafurahia nipende sana sana oyee

Hata kama wakisema
Sitojali kamwe
Chanda changu chema 
Kitavikwa nawe

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Watch Video

About Peke Yako

Album : Peke Yako (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 23 , 2021

More WYSE Lyrics

WYSE
WYSE
WYSE
WYSE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl