Chubuwi Chubuwa Lyrics by TRIO MIO


Ni mi na machupa zangu
Na shida zangu ni masha yangu aaah
Ni mi na machupa zangu
Na shida zangu ni masha yangu aaah

Na zikikujanga sana
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa
Hio mali si ni wet
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa

Ni kama tuko maji
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa
Chubuwi (Si unajua tu ni nani)
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa

[Harry Craze]
Zikikuja sana, zinanipata
Niko handas hadi nabonga kijaka
Manzi akikuja sana mi nampata
Namfyeka hadi nashona kiraka

Chubuwi chubuwa, ako fiti nyakua
Mi napita nayo buda mi staki kujua
Chubuwi chubuwa si tunakara mawaters
Tubleki hadi tuanze kuota

Brikicho, brikicho banture banture
Tingiza madiabz hapa na kule, na kule
Hakuna cha kesho jo ni today today
Ria, ria ria ria

[Maandy]
Kabaya Chubuwi duff mpararo
Niko hapa na kamnyweso
Nikiset si utaskia urao
Looku napiga ni ka label

Ikifika weekendi najua ni Konyagi
Najua ni maHenny location ni bar
Na kama sina penny nawamocho na mbogi
Kaa rada ni safi nachoma vile inafaa

Nitadoz nikidedi, sai nakula hepi
Sai nakula life na mkono kwa sinia
Kwa meza ni makali masponyo fulani
Walai leo natoka nikikuruma

[K4 Kanali]
Na zikikujanga sana
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa
Hio mali si ni wet
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa

Ni kama tuko maji
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa
Chubuwi
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa

[Trio Mio]
Haka kakitu hakana manual unaninauwo
Nina rungu inatoshana na za mandauwo
Na kama ibada nazamisha ndani ya nyau bro
Chubuwi mafuriko on the down low

Ndani ya wabling kama --
Niko maskani ninatry kukill hunnie
Handas majani ni ya kuneutralize azin
Ka zimerunda unaskia kichwa iko bazin

Steam juu cheza ka Kang'ethe
Mzinga bado round 2, ushabanjuka ndethe
Hizo sa ndo za uduu watu hufinywa ndeke
Unaskianga tao blue ulichunjwaga teke

[Mastar VK]
Wewe mi hunibamba nikivutaga kisense
Zihunimada ka ni hips ziko sexy
Double tap kwenye mbota za mneti
Ye hupenda kurombosa hawezi post akiketi

Kwa DM nikislide atajipa
Twende live tukismile pale Insta
Kunifollow kila baze mpaka Twitter
Mi hufanya hadi anawet juu ya venye namshika

Aiii Chibudi, Chibude
Nikizama chubuwi chubuwa
Ye ndo hufanya nasahau jina yangu
Akiniita daddy si nitaitika

[K4 Kanali]
Na zikikujanga sana
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa
Hio mali si ni wet
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa

Ni kama tuko maji
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa
Chubuwi
Chubuwi chubuwa, chubuwi chubuwa

[Kingpheezle]
Yeah doba kali wananauwo
Sio wengine mbali ni sisi
Niko na mbogi ya mafisi
Utasleki ubebewe
Hawa mababe wakuwekee mchele
Sijui bado unanauwo
Ju makoro zimerunda
Kwako moyo unadunda

Watch Video

About Chubuwi Chubuwa

Album : Chubuwi Chubuwa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 05 , 2021

More TRIO MIO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl