...

We mzuri Lyrics by Sadimu


We mzuriii unajua

We mzuriii unajuaa ah

We mzuri unajuaa aa ah

We mzuriii unajua aaaa aaah

Kama penzi la nyota mimi mzani yeye mshale

Naona kama masifa akiwa nyuma mi niko mbele

Moyo unasokota mpenzi wangu akiwa mbalitena sinaga pupa

Maana na najua kumkuna kipele

Hohoooo ooooh

Nachokuomba baby niombe pesa

Hata kama sina takukopea

Penzi lako tamu laninogea

Kwenye moyo wangu ushaingia

We ni wangu baby we ni wangu aaah

Mi ni wako honey mi wako aaah aah

Nidekeze kwenye penzi letu

Nikudekeze aah aaah

Nifungie kwenye moyo wako

Nikufungiee aaaah

We mzuriii unajua

We mzuriii unajuaa ah

We mzuri unajuaa aa ah

We mzuriii unajua aaaa aaah

Vita ni kubwa wanataka wakuibe we kipenzi changu

Vita ni kubwa wanataka wakubebe we kichunda changu

Na sijui ngumi ila nitakacho kifanya

Mbona mtakoma tajifunza soon

Ili nivune nazi nisibwage koroma

We ni wangu baby we ni wangu aaah

Mi ni wako honey mi wako aaah aah

Nidekeze kwenye penzi letu

Nikudekeze aah aaah

Nifungie kwenye moyo wako

Nikufungiee aaaah

Watch Video

About We mzuri

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jul 16 , 2025

More Sadimu Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl