Nibariki Lyrics by ROSE MUHANDO


Nimechoka mateso
Nimechoka tabu
Baba mungu naja kwako
Nibariki na mimi
Kila siku taabu
Kila siku kilio
Machozi na huzuni baaba
Wenzangu wananicheka
Nipitapo kwenye taabu
Baba naja kwako
Nibariki na mimi
Nimechoka kutamani vitu vizuri vya wenzangu
Nami nakuja kwako
Nibariki na mimi
Ikiwa ni laana
Ikiwa ni mikosi
Ilikwisha msalabani baaba
Neno lako linasema
Niite nitaitika
Nami nakuita bwana
Nibariki na mimi
Nibariki nibariki nibariki
Bwana
Nibariki nibariki uniguse bwana

Majirani wananishanga
Wengine wananichekaa
Eti! kwasababu ya shida mimi
Nimekua kituko nikipita kwa wenzangu
Nimekua kichekesho mimi
Watoto wangu wana shida
Ndugu zangu wantaabu
Yesu nakuja kwako
Nikumbuke bwana
Nami nimekua mumini
Nami nakungojea uje
Kwako nanyenyekea
Nibariki na mimi
Nimechoka mateso baba
Nimechoka kilioo
Nimechoka taabu
Nibariki bwana
Nibariki nibariki nibariki bwana
Nibariki nibariki uniguse bwana

Watch Video

About Nibariki

Album : Nibariki (Single)
Release Year : 2017
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 22 , 2020

More ROSE MUHANDO Lyrics

ROSE MUHANDO
ROSE MUHANDO
ROSE MUHANDO
ROSE MUHANDO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl