...

Ananipenda Lyrics by RICH MAVOKO


Kana madimpozi akicheka ana mwaanya

Hana maringo hakataki kujuaana

Penzi limenogaa chuzi biriani

Yako inanitoshaaa, we ndio wa ubani

Mimi ni wake na ye wangu mi aahh

Tumeshibana kisawa sawa aahh

Sa kwengine mi nifuate nini aahh

Yeye tabibu ananipa dawa aahh

Ananipenda nami ninampenda kweli

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Aaahh

Bebiii nikuite nani iwe sawa

Huniii penzi letu nyunyuzia dawa

Bebiii nikuite nani iwe sawa

Huniii penzi letu nyunyuzia dawa

Mimi ni wake na ye wangu mi aahh

Tumeshibana kisawa sawa aahh

Sa kwengine mi nifuate nini aahh

Yeye tabibu ananipa dawa aahh

Ananipenda nami ninampenda kweli

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Ananipenda nami nimemweka moyoni

Watch Video

About Ananipenda

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 02 , 2025

More RICH MAVOKO Lyrics

RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO
RICH MAVOKO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl