PAPI CLEVER & DORCAS E’ Mungu Mwenye Haki cover image

E’ Mungu Mwenye Haki Lyrics

E’ Mungu Mwenye Haki Lyrics by PAPI CLEVER & DORCAS


E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku
Katika mambo yote yanayokupendeza
Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka
Yananitia tetemeko mpaka kufa
Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka
Yananitia tetemeko mpaka kufa

Ni heri siku zote kutegemea Yesu
Na kuenenda sawa katika nyayo zake
Kwa kuwa yeye ni mchunga anayeniongoza vema
Nipate kuingia katika raha yake
Kwa kuwa yeye ni mchunga anayeniongoza vema
Nipate kuingia katika raha yake

Safari yangu sasa yaelekea mbingu
Mwokozi yuko huko, lazima nifikeko
Na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha
Kuona yeye aliyeninunua kwake
Na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha
Kuona yeye aliyeninunua kwake

Ulimwenguni humu, matata na kuchoka
Nikihitaji kitu nafadhahika bure
Lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi
Natumaini sitakosa dhawabu yangu
Lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi
Natumaini sitakosa dhawabu yangu

Mbinguni sitaona adui zangu tena
Hayatakuwa mambo yakupokonya pale
Mbinguni sitaona adui zangu tena
Hayatakuwa mambo yakupokonya pale
Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya
Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu
Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya
Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu

Watch Video

About E’ Mungu Mwenye Haki

Album : E’ Mungu Mwenye Haki (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 13 , 2023

More PAPI CLEVER & DORCAS Lyrics

PAPI CLEVER & DORCAS
PAPI CLEVER & DORCAS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl