Corona Lyrics by PADI WUBON


Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Yes man fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Poker fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Similizer fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Sholei fika kwako kabla ya saa kumi na mbili

Jack on the beat fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Slim fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Roberto msanii fika kwako kabla ya saa kumi na mbili
Afisa Mark B, kabla ya saa kumi na mbili

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Bwow! -- nifeel
Weka mkono mmoja hewani
Na hii ingine -- ya makwapa
Njaa itatuua ndani ya nyumba zetu

Sanitizer (Sanitize)
Quarantine (Quarantine)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Polisi inakuja Kibera 
Inachapa mayout man 
Marungu magoti makwapa 
Matanye inawashwa moto kama pasi mmmh
Sai (Sai) nikae wapi? (Kwako)

Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)
Corona (Corona)

Watch Video

About Corona

Album : Corona (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 03 , 2020

More PADI WUBON Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl