OKELLO MAX  Nipe Nafasi  cover image

Nipe Nafasi Lyrics

Nipe Nafasi Lyrics by OKELLO MAX


Aaaaaah
Aaaaaah

Nipeni nafasi, yashakuwa shubiri
Jamani basi, ushachoka wangu moyo
Siamini ulivyo nitenda
Nakupiga redi kadi
We nenda mwana kuenda
Sikudhania utarudia
Nikatarajia utayaacha
Meshafika mwisho wa hii kamba
Na nguvu mi sina

Niling’ang’ania kurudia
Kakupigania kila vita
Sasa nalia sina raha
Mifupa tu hata nyama sina

Aaaaah nipe nafasi ooh
Aaaaah nipe nafasi ooh
Nimechoka mimi nipe nafasi ooh
Niache che niende mama nipe nafasi ooh
Aaaah natesekaa

Ahadi kwa altari, tukianza safari
Kufa kuzikana
Ukaanza kejeli,
We huna dosari, mi ndo wa laana
Pile en fitina okaywe
Okang’eyo meaning mar kwe
Acha nijitoe mzima, kabla nipimishwe sanda
Kila siku kelele, sijui tena maana ya sherehe
Acha nijitoe mzima, kabla nipimishwe sanda

Niling’ang’ania kurudia
Kakupigania kila vita
Sasa nalia sina raha
Mifupa tu hata nyama sina

Aaaaah nipe nafasi ooh
Aaaaah nipe nafasi ooh
Nimechoka mimi nipe nafasi ooh
Niache che niende mama nipe nafasi ooh
Aaaah natesekaa

Gima chako nigi giko mama
Nipe nafasi oooh
Kata kodiaga dhano wuok
Mia thuolo oooh

Nimefika tamati mpenzi nakuachilia
An ti iweya adhi na mema nakutakia

Watch Video

About Nipe Nafasi

Album : Boss (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Dec 17 , 2022

More OKELLO MAX Lyrics

OKELLO MAX
OKELLO MAX
OKELLO MAX
OKELLO MAX

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl