Kinoma Lyrics by NIKKI WA PILI


I gotta hate y'all nigga 
Yeah, okey

Hela kama sina mi huwanga nadunduliza
Nikijumlisha ya hasira inakuwa kinoma island
Dem kama hataki mi huwaga nahonga sana
Na akijaga maghetoni namla kinoma island

Harusi kuchangia ni hiari
Lakini ona vile uyo mtu atakudai kinode island
Kodi sijashindwa kulipa nimechelewa
Unataka kunitolea vitu ile kinoma

Sisi machizi tunaacha
Ila madem wanaacha ile kinoma noma
Sisi machizi tunahonga
Ila madingi wanahonga kinoma island noma

Noma noma, jua noma noma
Ukiibutua, noma noma
Wataichukua, noma noma
Island kinoma noma

Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, eeh kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma

Okey, nani airidhishe, mziki wa jamii
Watu wanaimba matusi, kinoma noma
Kwenye mitandao, mengi maarifa
Ila watu wanagoogle matusi, kinoma noma

Huko darasani, hesabu huziwezi
Ila mjini unahesabu mabwana, kinoma noma
Umetoka kanisani, shetani humuwezi
Maana kwake kuna mabata, kinoma noma

Yeah, 
Kwenye ndoa mlokole, ukifanya polepole
Kwa mchepuko unapiga uno, kinoma noma
Soka the Bongo, Simba na Yanga
Na tunawanga kinoma island noma

Noma noma, jua noma noma
Ukiibutua, noma noma
Wataichukua, noma noma
Island kinoma noma

Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, eeh kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma

Watch Video

About Kinoma

Album : Noma (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 07 , 2019

More NIKKI WA PILI Lyrics

NIKKI WA PILI
NIKKI WA PILI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl