Zikaa Lyrics by NAY WA MITEGO


Zika Zika Zika Zika

Hey watagwani
Kwani vipi nani anatudai
Natesa bongo mpaka Kenya was born to shine
Tayari hii ni kesi ya kunyonga tai
Wapinzani mko wapi niwazike hai
Haipendizi piga kazi sio kuongea  ongea
Unyakyusa mwingi toka moshi mpaka mbeya mbeya
I’m the one man army never compare
Hi ni time ya mazishi i dont play fair

Baba yaga nipo kwenye ramani
Wakati wa vita unataka amani (zika)
Na si walitaka shindana nami
Shughuli ya wanaume wavulana fulani (zika)
Ah eeeh (zika)
Waleee eeeh (zika)
Ai ai ai (zika)
Ai ai ai (zika)
Ai ai ai (zika)
Ai ai ai (zika)

Yesaya
Bang bang halelluyah
Chepeni tushakuzika hapa
He he ushafutika
Story itabakia flagi tushazimika utawala uni tu ya
Bang bang bang bang
Zemneli naliamsha asamaya
Mazishi yanafanyika tu no choir
Master na wa mitego mo fire
Usitingishe meza ya wakubwa ni hasara
Ujuzi wangu uku juu
Kichwani niko full
Moyoni niko true Sijui tutafanyaje full
I’m a chief rocker microphone doctor
Mtakuja mtekwenda ila bado niko hapa (zika)
Wale wanao taka kutuficha tuna wa (zika)
Kwanza hawana jipya (masia)
Sisi ndio mamasta wenye future
Mtajua hamjui ila mtaisoma picha (zika)

Ah eeeh (zika)
Walee eeeh (zika)
Ai ai ai (zika)
Ai ai ai (zika)
Ai ai ai (zika)
Ai ai ai (zika)

Watch Video

About Zikaa

Album : Rais Wa Kitaa (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Sep 29 , 2022

More NAY WA MITEGO Lyrics

NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl