Nikikuona Lyrics by NAY WA MITEGO


Gal unanikosha
We ndio faraja yangu usawa huu
Wengine walinitocha
Kisa sina vyangu mtembea kwa miguu
Mungu fundi amenileta wewe
Unavyo nikataga nakuita kiwembe
Ukiwa shambani unanitaga jembe
Ukichoka bongo twende kwa madiba
Naogopa hapa bongo watakuiba
Jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
Naniliyo na manguvu si nitawapiga

Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you
Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you

Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apitaitu (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)
Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apitaitu (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)

Oh my gyal you’re fire
Moyoni wangu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana
Please don’t get tired
Walijaribu kukuiba nishawafanya kitu mbaya

Baby you change my life
Ikitokea tukiachana mungu akupe good life
Imani yangu inanituma mpaka umauti we ndio wife
Sipendelei ugovi ila for you I can fight
Mama unaniweka roho juujuu (juujuu)
Nataka twende town kwa miguu (miguu)
Penzi lako noma changanya na jujuu (jujuu)
Na kama shule wewe ni chuo kikuu (kikuuu)
Ukichoka bongo twende kwa madiba
Naogopa hapa bongo watakuiba
Jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
Naniliyo na manguvu si nitawapiga

Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you
Am in love, am in love
Am in love, am in love
Am in love with you

Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apitaitu (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)
Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apitaitu (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)

Mama unaniweka roho juju (jujuu)
Nataka twende town kwa miguu (miguu)
Penzi lako noma changanya na jujuu (jujuu)
Na kama shule wewe ni chuo kikuu (kikuuu)
Ukichoka bongo twende kwa madiba
Naogopa hapa bongo watakuiba
Jinsi ulivyo mzuri unanipa shida
Naniliyo na manguvu si nitawapiga
Oh my gyal you’re fire
Moyoni wangu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana
Please don’t get tired
Walijaribu kukuiba nishawafanya kitu mbaya

Nikikuona na swety (ayaya)
Kabla ujani petipeti (ayaya)
We ndio yangu apitaitu (ayaya)
Ayayaaa (ayaya)

Watch Video

About Nikikuona

Album : Nikikuona (Single)
Release Year : 2022
Copyright : ©2022 Free Nation.All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Jul 20 , 2022

More NAY WA MITEGO Lyrics

NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl