
Kamnyweso Lyrics
...
Kamnyweso Lyrics by NATACHA
Lalala lala Lalala lala
Oooh Eeeh Mmmh
Nikikosa hii kitu najiona niko duru
Nikiikosa najiona niko zoba
Nikikosa hii kitu najiona kama sio mimi ( Sio mimi )
Ah Ah Kamnyweso ( Kamnyweso)
Kamnyweso ( Kamnyweso )
Ooh Kamnyweso ( Kamnyweso)
Kamnyweso ( Kamnyweso )
Mama Kamnyweso ( Kamnyweso )
Kamnyweso ( Kamnyweso )
Ooh Kamnyweso ( Kamnyweso)
Kamnyweso ( Kamnyweso)
Ah nikilewa zinashuka
Mh yanipanda mizuka
Waiter hebu muite chief cooker
Mana kunywa bila kula ntaumbuka
Wengine wanaita inzoga
Wengine wanaita mtungi
Mtungi uwo mtungi uwo ( Mtungi uwo mtungi uwo )
Unanipa vibe mtungi uwo ( Mtungi uwo mtungi uwo )
Haiyaa mtungi uweo mtungi uwo ( Mtungi uwo mtungi uwo )
Unaniondoa aibu mtungi uwo ( Mtungi uwo mtungi uwo )
Ah Ah Kamnyweso ( Kamnyweso)
Kamnyweso ( Kamnyweso )
Ooh Kamnyweso ( Kamnyweso)
Kamnyweso ( Kamnyweso )
Mama Kamnyweso ( Kamnyweso )
Kamnyweso ( Kamnyweso )
Ooh Kamnyweso ( Kamnyweso)
Kamnyweso ( Kamnyweso)
Watch Video
About Kamnyweso
More NATACHA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl