...

Ai Lyrics by NATACHA


Nilimpata mpenzi

Nikataka nimuoneshe shoo

Nikaingia kiwanjani bila jezi ah

Matokeo nimefungwa goo Eeeh

Nilijifanya fundi

Kitandani mpaka juu ya dali

Nampa yote siringi

Eh kilichonikuta kwisha habari

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma )

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma )

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma )

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma )

Mapenzi ya sikuizi kila mtu na wake

(kaa mbali na mpenzi wangu ntakupiga kofi wee)

Sikuizi kila mtu na baby wake

(kaa mbali na baby wangu ntakupa mashuti wee )

Ah kuna kitu kimoja honey anakichekesha

Usiku hataki tulale anataka kukesha

Nikimtazama babu juma ananesanesa

Naona aibu akitaka kuniogesha

Nilijifanya fundi

Kitandani mpaka juu ya dali

Nampa yote siringi

Eh kilichonikuta kwisha habari

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma)

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma)

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma )

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma )

Watch Video

About Ai

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Aug 05 , 2025

More NATACHA Lyrics

NATACHA
NATACHA
NATACHA
NATACHA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl