MR SEED Utamu cover image

Utamu Lyrics

Utamu Lyrics by MR SEED


(Alexis on the Beat)
Mr Seed again

Siogopi mawe
Hata wanipige nitabaki nawe
Ndani yako Yesu niko ndani
Huu mwili wangu ndio kanisani

Aah...aaah
Nikikuita unapatika yeah yeah
Aah...aaah
Kwa hizi vita we unashindaga yeah yeah

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho wowo

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu ooh aah
Kwa Yesu

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu eyaa
Kwa Yesu

Raha ya dunia nilijivunia
Kumbe yote vanity
Sasa najirudia uweze kunitumia 
Nisije jipata Kamiti

Ndani yako niko salama
Ndani yako sina lawama
Tukuka we ndio baba
Yote ulimaza kwa msalaba

Aah...aaah
Nikikuita unapatika yeah yeah
Aah...aaah
Kwa hizi vita we unashindaga yeah yeah

Aah...aaah
Nikikuita unapatika yeah yeah
Aah...aaah
Kwa hizi vita we unashindaga yeah yeah

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho wowo

Anza tena 
Walipodhani nimefika mwisho
Ndio Mungu ameanza tena 
Walipodhani sina suluhisho

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu ooh aah
Kwa Yesu

Mwenzenu naona utamu utamu eyaa
Naona utamu
Kwa Yesu naona utamu utamu eyaa
Kwa Yesu

Watch Video

About Utamu

Album : Utamu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Starborn Empire.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 18 , 2020

More MR SEED Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl