MKALI WENU Mama Lao cover image

Mama Lao Lyrics

Mama Lao Lyrics by MKALI WENU


Sikiliza we usiniletee mambo ya darasa la pili
Unaniibia penseli yangu alafu unanisaidai kutafuta
Nakwambiaje, unikome jamani 
Mjomba simama maana mimi nina wajomba wengi
Kwa hio wote ni mama zangu(Ndio)

Dudu Baya mama lao(Mama lao)
Wa mitego mama lao(Mama lao)
Dully Sykes mama lao(Mama lao)
Malukamba mama lao(Mama lao)

Na babu mama lao(Mama lao)
Makabila mama lao(Mama lao)
Mkude mama lao(Mama lao)
Na mimi ndio toto lao

Nyama kwa nyama ni joto joto
Leo ndani nawasha moto
Uwoga mi si kijiki moko
Nje baridi huku kwetu joto

Umechoka eti(Ahh wapi)
Unataka lala(Aah wapi)
Spidi imezidi(Aah wapi)
Twende kwenye kiti

Kidem kile chembamba
Hakina ata msambwanda
Lakini vipi kinatamba
Kinaongoza kudanga

Uliiba kweli(Aah wapi)
Ile penseli(Aah wapi)
Darasa la pili(Aaah wapi)
Na kumbe kadanganya (Aaaah)

Dudu Baya mama lao(Mama lao)
Wa mitego mama lao(Mama lao)
Dully Sykes mama lao(Mama lao)
Malukamba mama lao(Mama lao)

Na babu mama lao(Mama lao)
Makabila mama lao(Mama lao)
Mkude mama lao(Mama lao)
Na mimi ndio toto lao

Kajala amenona na Gigy amenona(Amenona)
Ruby hajanona, Vanessa hajanona(Hajanona)
Amefosi pombe mteremko(Eeeh zimemponza)
Mavideo faragha na mafoto(Eeeh wanamcheka)

Dada kuja kati(Dada kuja kati)
Kisha vua shati(Kisha vua shati)
Hamorapa monkey(Aiyeyeye)
Anadanki danki

Eeeh wanakitaka(Kidude)
Hakichomoki(Kidude)
Changu mwenyewe(Kidude)
Japo kidogo dogo(Hichi kidude)

Wema kaomba tena
Wema kaomba tena(Eeeh)
Lulu kaomba tena
Lulu Lulu kaomba tena(Kidude)

Wolper kaomba tena
Wolper Wolper kaomba tena(Eeeh)
Linah kaomba tena 
Linah Linah kaomba tena(Kidude)

Dudu Baya mama lao(Mama lao)
Wa mitego mama lao(Mama lao)
Dully Sykes mama lao(Mama lao)
Malukamba mama lao(Mama lao)

Na babu mama lao(Mama lao)
Makabila mama lao(Mama lao)
Mkude mama lao(Mama lao)
Na mimi ndio toto lao

Madem wananipenda 
Mwenzenu wananisumbua(Acha uongo)
Insta DM yangu
Message wananitumia(Acha uongo)

Wananisumbua(Acha uongo)
Wananitumia(Acha uongo)
Wananisumbua(Acha uongo)
Eeeh nimewakata

Uliiba kweli(Aah wapi)
Ile penseli(Aah wapi)
Darasa la pili(Aaah wapi)
Aaah kumbe kadanganya (Aaaah)

Hahaaha jamaa niliowataja 
Humu mwote ni wajomba zangu
Yaani ni baba zangu
Haha nampenda sana mama yangu Dudu Baya

Watch Video

About Mama Lao

Album : Mama Lao (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 10 , 2019

More MKALI WENU Lyrics

MKALI WENU
MKALI WENU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl