Wagwan Lyrics by MIKOS GANG


Mungai Eve hapa niko na Mikos Gang
Genge la mikosi bwana
And if you think it's too much

Kuna hii time kwa life hukuwaga noma
Lakini ikipita walai we sema wagwan (Wagwan)
Wagwan (Wagwan) Wagwan (Wagwan) 
We ni legend basi sema wagwan

Kuna hii time kwa life hukuwaga noma
Lakini ikipita walai we sema wagwan (Wagwan)
Wagwan (Wagwan) Wagwan (Wagwan) 
We ni legend manze sema wagwan

Niko chini kwa mfuko nina 30
Lakini sijali mbao naongezewa na kamati
Jaba imelala nimebaki na mabati
Zikinishika shing nachanga na kilatin

Chuom nikapatana na ule ngati
Home ni huko chini kwa mabati
Ruka ruka juu kama ndauwo
Kuna ujinga ingine mi huwa si allow
Mi ni wa Kanaro kwani hauninauwo
Mi na mister bunny ndo tunarun hii tao

Cheki tunawabeba beba kimbao mbao
Aunty nipee nimembao
Si nimejipin cheki nina ngao
Cheki tunawabeba beba kimbao mbao
Aunty nipee nimembao
Si nimejipin cheki nina ngao

Kuna hii time kwa life hukuwaga noma
Lakini ikipita walai we sema wagwan (Wagwan)
Wagwan (Wagwan) Wagwan (Wagwan) 
We ni legend basi sema wagwan

Kuna hii time kwa life hukuwaga noma
Lakini ikipita walai we sema wagwan (Wagwan)
Wagwan (Wagwan) Wagwan (Wagwan) 
We ni legend manze sema wagwan

Hakuna cha, hakuna chao chao
Hakuna ya, hakuna wao wao
Hakuna ta, hakuna tao tao

Niko kwa temple wananiita master
Stingo za kugwara, stingo za kuruka
Zote nazinauwo sinanga pupa napenda Fally Ipupa
Niko na siri natoka Gotta city
Si nimemedi basi mi ni pedi

Mimi si mwizi, mimi si mwizi
Mimi si mwizi, mimi ni hustler
Mimi si mwizi, mimi si mwizi
Mimi si mwizi, mimi ni hustler

Sir God bas ninaomba unibless
Ninaomba unibless
Niko na stress, nitaomoka lini 
Nitaomoka lini? Niko na stress

Kuna hii time kwa life hukuwaga noma
Lakini ikipita walai we sema wagwan (Wagwan)
Wagwan (Wagwan) Wagwan (Wagwan) 
We ni legend basi sema wagwan

Kuna hii time kwa life hukuwaga noma
Lakini ikipita walai we sema wagwan (Wagwan)
Wagwan (Wagwan) Wagwan (Wagwan) 
We ni legend manze sema wagwan

Si hii kitu huwaga biggy
We panua aah, panua, panua kili
Nacheki huko ready mi nanyonga aah
Nyonga, nyonga hio tai

Si mami umebeba mataa, mataa
Mataa, mataa, matatizo
Mtu ana zake na kama ulipita sema
Wagwan, wagwan wagwaan

Survival tactics za hapa Nairobi
Ni nani unajua mwenye sasa anakujua
Mwenye sasa anajua ule mtu alikujua
Keroma daily walai sio normal 
Lakini ukiwai sema wagwan
Wera daily walai sio normal 
Lakini ukiwai buda boss sema wagwan
Rent  sio normal 
Lakini ukiwai buda boss sema wagwan (Wagwan)
Wagwan (Wagwan) Wagwan (Wagwan)

Cheki kuna hii time kwa life hukuwaga noma
Lakini ikipita walai we sema wagwan (Wagwan)

Mbogi ni mbaya, mbogi rach

Watch Video

About Wagwan

Album : Wagwan (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 18 , 2021

More MIKOS GANG Lyrics

MIKOS GANG

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl