Mbao Mbao Lyrics by MBOGI GENJE


Kuna vile kameiva nacheza mbao mbao
Michezo ya sativa kwa pori ni mathao
Ninateka tu my diva na venye kamembao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao
Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

Nipe mbulu nimteke tu kejani
Ameninoki sema koki kunijaza kwa tight
Kama rules za Michuki bila chuki cheki mwanya
Nikikuona roho haigongi

Cheki chura, cheki chura wa maji chafu ananidai
Natembea na magoti zimeripoti
Nikishika koti, nikishika koti
Nipe pesa we itisha natisha vijana nimekafunga 
Kumethoka kila mtu mbili mbili nimejam

[Kappy]
Pahali niko labda duri jo itoe njoti
Namezaga shimo zote nayo
Cheki biz ikifasho, ikidunga mi nakata tenje
Utapata niko skwodi orosho na mbogi genje

Nachantigi makoro tukidunga mamwere
Skia venye inatema ikijiba buda inachuna
Naskianga nibanjuke stingo za kukuna kuna
Ndio maana mi ni pin

Kuna vile kameiva nacheza mbao mbao
Michezo ya sativa kwa pori ni mathao
Ninateka tu my diva na venye kamembao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao
Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

[Iano Ranking]
Side moja side ingine ziwake mbili mbili
Size ni kislim kikolo skizia mawili
Mbao mbao adisia ziwake kwa wingi
Nilichujwa NACADA ju ya kuseti warididi
Nyaru kuroll kuwafungia kwa zigi
Mi hukuwanga ngirimba tangu shule ya msingi
Makuro Koinange tao wote kuwadigi
Downtown uptown hadi area jiji

[Guzman, Mbogi Genje]
Kutake over wajue si ndo shatta
Siwezi kuita ras jo bila nati
Seti kola request ya kishada
Man I go hard hadi mtagwaya

Cash money, look fisa na makwanda
Come slow frai dai tumenyanya
Napiga njuga niwashike za kinai
Ndo kakiliet wamezee huyu Guzu

Kuna vile kameiva nacheza mbao mbao
Michezo ya sativa kwa pori ni mathao
Ninateka tu my diva na venye kamembao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao
Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

Ni mabuti nawapiga na matimber (Mbao mbao)
Ni kuni anataka alidunga finger (Mbao mbao)
Chips funga mi ni machipo mi nafunga (Mbao mbao)
Alipiwe choo kama anaringa

Nimebonda kuliko sura ya ong'ong'o
Zua zogo mambao ama udungwe mengo
Mbao mbao katoto kakishika mabeng'o
Nina moto unaeza dhani manager ni devil

Bila ngori narankiwa top kinde
Na siwezi toka jasho ndo kabeef nikashinde
Nikimada na hii light mi nazima
Na nakupea time token nunua stima

Si katoto ju kanajua vako za ngono
Kula moto ukipata manzi yako ni homo
Penda mate utakuja kujipata na homa
Pigwa D ju ulilala shule si kusoma

Kumi tisa naruka mbao mbao
Nibebeba naruka mbao mbao
Kuna vile kameshika nacheza mbao mbao
Ni ma twa alafu mbao mbao
Kuna vile kanasonga alafu mbao mbao
Ati ni matwa twa, mbao mbao

Kuna vile kameiva nacheza mbao mbao
Michezo ya sativa kwa pori ni mathao
Ninateka tu my diva na venye kamembao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao
Kumi tisa naruka mbao mbao
Nimetoka kumi tisa naruka mbao mbao

Watch Video

About Mbao Mbao

Album : Mbao Mbao (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 22 , 2020

More MBOGI GENJE Lyrics

MBOGI GENJE
MBOGI GENJE
MBOGI GENJE
MBOGI GENJE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl