MAVOKALI Naogopa cover image

Naogopa Lyrics

Naogopa Lyrics by MAVOKALI


Yanavyo anzaga kiutani utani
Unaanza kwa faida mwisho wa siku hasara
Majina mazuri kuitana hunnie
Ukiyaingia yanakumwaga mbaya
Sawa tumeachana jana tu
Iweje unapost picha yake eheee
Alafu unaona sawa
Ukimpost unatichaga sura yako
Nisimjue ehee
Unajua unazingua
Mwilini vidonda, havijapungua
Moyo ulishapoa unaushtua
Mzigo wa adhabu, unaniumbua ooh aaah

Naogopa
Naogopa
Naogopa
Naogopa

Upole na tabia yake
Atakutaka umiliki dunia yake
Ona atakudanganya tabia yake
Atakuvuta utakua wake
Ukisha jaa ni maumvu hatari
Utatamani akubwage aaah
Kipigo chali
Utatamani akuache
Na utafuta namba yake eeeh
Ili umuache, usiumie oooh
Usiumie eeeh
Unajua unazingua
Mwilini vidonda, havijapungua
Moyo ulishapoa unaushtua
Mzigo wa adhabu, unaniumbua ooh aaah

Naogopa
Naogopa
Naogopa
Naogopa

Watch Video

About Naogopa

Album : Naogopa (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Apr 05 , 2022

More MAVOKALI Lyrics

MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI
MAVOKALI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl