Level Up Lyrics by LUFFA


Time to Level Up!
(Luffa)
Pray! Mungu ana bless up!

[Conboi]
My tummy tatts got me feel Pac my nigga
Na nnachotema ujue ni facts my nigga
I keep hood I dont fuck with alota niggas
Nishapitia so much pain wala sijawahi to complain
Let me explain jinsi ambavyo maisha yanakwenda
Ukiyaanza ka’ sensei no retreat no surrender
Tulipoianza walipenda na walitupa hadi advice
Na mengi about this life ila sio kama walitupenda right

Baada tuu ya mafanikio kidogo
Wanaanza kuwa wabaya wanatupakazia uongo
Wanafanya lolote ukose mchongo
Lakini hakuna kitu inashindikana juu ya udongo

We going harder akili pia iko smarter
Niggas watch how I move I ain't lose kama Sean Carter
Im doin bigger, got seven figure kwenye plan
So sitaki kelele na hawa mambwiga
Alotta shits left me scars na sio mzaa
Nilikotoka ujue ni mtiti I need to protect my heart
Fuck you niggas tryna hate its not okay
Fuck the facebook I need my space

Time to level up...
Every Day we sin yeah, Mwisho wa siku we pray
Mungu Ana-bless Up....
Pray to God before we sleepin, nifike siku nyingine

Time to level up...
Every Day we sin yeah, Mwisho wa siku we pray
Mungu Ana-bless Up....
Pray to God before we sleepin, nifike siku nyingine

[Super]
Hii ni Mtu Be kama parklane
Huku bino huku big boy and we got bars kama kilo
I swear this shit is gonna sell (Yeah!)
Ukileta vindo ni vishindo kuna Vlone kwenye beat bro
I swear this is not fugazy (Yeah!)
We tell the truth Ain’t no fairytales
Ka’ nikiwa mtaani vitani its not a place to play
Hakikisha umeaga nyumbani before you come out here
Niko kitaani mwanangu saa mbovu yuko pia

Na pia hatuna fear
Ka unajijua we’ ni hater unakanyagiwa
I keep my circle too small you dont belong here
Na wananiita mdanta because I was born here
And I been swimming with the Sharks
Nikiibuka ni hatari
Usijifanye unanijua kama hunijui kiundani
Nishapitia Maisha
Namjua shetani ni nani na snitch ni nani
Snitch sio Tekashi ni flani, am rolling exotic

Kama hujanijua kaa mbali
Na usidiss kidigitali my nigga
Tukutane mtaani I swear
Kama Mbwai ni mbwai
Ninaemhofia ni Mungu tu na wala sio kiumbe hai
Tumekutana Skani eti unauliza mkubwa ni nani
Alafu nishafanya vitu vikubwa ata mwenyewe hufanyi
Mwisho wa siku uje kuchapika mjuba epusha tu shali
Na hii fani kwetu ni kazi si’ hatutaki utani
Tunachojua ni kukaza hatusubiri zali
U Dig?!

Time to level up...
Every Day we sin yeah, Mwisho wa siku we pray
Mungu Ana-bless Up....
Pray to God before we sleepin, nifike siku nyingine

Time to level up...
Every Day we sin yeah, Mwisho wa siku we pray
Mungu Ana-bless Up....
Pray to God before we sleepin, nifike siku nyingine

Watch Video

About Level Up

Album : Level Up (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 03 , 2021

More LUFFA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl