LAVENDER OBUYA Umeskia kilio changu cover image

Umeskia kilio changu Lyrics

Umeskia kilio changu Lyrics by LAVENDER OBUYA


Kwa muda mengi nimeteseka aah
Nikuugua magonjwa sugu yaliyoshinda madakitari
Yaliyoshinda wenyi hekima wa dunia
Nilizunguka dunia kote eeh
Nikitafuta uponyaji wangu sikupata
Wewe Mungu umeniponya bure Baba
Umeniponya bila malipo Yesu umeniponya kwa damu yako
Kama sio wewe nitamwabudu nani
Kama sio wewe nitamwabudu nani
Umesikia Baba

Umesikia kilio changu ukanitoa shimoni Yesu
Ukanifanya kiumbe kipya kama sio wewe nitamwabudu nani
Kama sio wewe nitamwabudu nani

Umeniondolea aibu Yesu nilikataliwa ulinikubali Baba
Ulinikubali jinsi nilivyo ukaniokoa kwa damu yako Jehovah
Ukanikomboa kwa damu yako ukanijaza kwa damu yako
Kama sio wewe nitamwabudu nani
Kama sio wewe nitamwabudu nani Kama si wewe

Umesikia kilio changu ukanitoa shimoni Yesu
Ukanifanya kiumbe kipya kama sio wewe nitamwabudu nani
Kama sio wewe nitamwabudu nani

Wewe ni kinga kwa wanyonge wote Baba
Wewe ni kinga kwa wasiojiweza
Wakikumbilia hakuna aibu
Wewe ni Mungu usiyebagua aah
Wewe ni Mungu haulinganishwi
Unapenda wote Mungu muumba aah
Nimekuchagua kati ya miungu Yesu
Kwa damu yako nimekombolewa umeyavuta laana yangu
Umebadilisha historia Bwana
Kama sio wewe nitamwabudu nani Kama si wewe

Umesikia kilio changu ukanitoa shimoni Yesu
Ukanifanya kiumbe kipya kama sio wewe nitamwabudu nani
Kama sio wewe nitamwabudu nani

Watch Video

About Umeskia kilio changu

Album : Umeskia kilio changu
Release Year : 2017
Copyright : ©2017
Added By : Trendy Sushi
Published : Mar 08 , 2020

More LAVENDER OBUYA Lyrics

LAVENDER OBUYA
LAVENDER OBUYA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl