LAMAZ SPAN K.O.B Jayden Walevi Anthem  cover image

Jayden Walevi Anthem Lyrics

Jayden Walevi Anthem Lyrics by LAMAZ SPAN K.O.B


Aiii wewe, wewe
Aiii buda buda, zingiri
Scorpion aii wewe

Nafurahi nikicheki vile ngori inapungua baba
Fungua baba, ah fungua baba
Sai ni kutegea tu Jayden afungue baba
Afungue baba, afungua baba

Nafurahi nimkicheki vile ngori inapungua baba
Fungua baba, ah fungua baba
Sai ni kutegea tu Jayden afungue baba
Afungue baba

Nimemiss tu kukutana kwa bar
Nimemiss  pia kukunywanga kwa bar aki
Nimemiss kupelekana kwa bar
Nimemiss pia kutekana kwa bar

Aki namiss pia kutesanga kwa bar
Si wakenya huwa fire kutumia pesa kwa bar
Namiss kuteteshana kwa bar
Na watoto wakitetemeka tetema kwa bar

Miezi kama saba nikiwa kwa nyumba
Nikivumilia siasa za bibi
Wacha saa tatu sai inipate nikiwa kwa bar
Nikicheki new siasa za bibi

Yaani hata ka tutakunywa na mask
Fungua fungua fungua
Ata ka pombe itakuja na flask
Fungua fungua fungua

Nafurahi nikicheki vile ngori inapungua baba
Fungua baba, ah fungua baba
Sai ni kutegea tu Jayden afungue baba
Afungue baba, afungua baba

Nafurahi nimkicheki vile ngori inapungua baba
Fungua baba, ah fungua baba
Sai ni kutegea tu Jayden afungue baba
Afungue baba

Check kuvaa mask sai ni ka kufunga tai
Sanitize pia tusha normalize
Na ikiweza ile kitu legalize
Si tuko tayari kujinyc

Nafurahi nikicheki vile ngori inapungua baba
Fungua baba, ah fungua baba
Sai ni kutegea tu Jayden afungue baba
Afungue baba, afungua baba

Nafurahi nimkicheki vile ngori inapungua baba
Fungua baba, ah fungua baba
Sai ni kutegea tu Jayden afungue baba
Afungue baba

Na mabar zifunguliwe na bash
Mabouncer na waiter wote watip iwe wa first
Omollo senior tuma kitu

Kale kajamaa pia ka usafi
Kalipwe kama manager wa branch
Sausage na bia mbili
Dj pia cheza safi
Chachisha mbogi ishinde ikidance
Hii sherehe si pia tumeigoja sana 

Lakini kuna issue hapa iko critical
Mmefanya kila kitu ikuwe political
So nyi mnaeza piga hizo mavituko
Wacha si tupige benga na Mugithi show

Omollo senior original
Scorpion kanga weka signal
Mistari safi safi 
Utadhani nimesign iwa na label ya sanitizer

Na usikam hata na ndae 
Ju leo ni mayego zinalipuka
Na zisipokushika si tuitiwe ule dem
Huzungusha sambuka

(A moment of silent kwa wale tumepoteza)

Akifuatwa na ule anauzanga sambusa
Wakenya wezangu pia mi nimewaaminia
Najua hii janga tutavuka

Scorpion Omollo senior kesi kubwa
Mi ni mali, aiii, wewe
Sanitize stay safe

Watch Video

About Jayden Walevi Anthem

Album : Jayden Walevi Anthem (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 04 , 2020

More LAMAZ SPAN K.O.B Lyrics

LAMAZ SPAN K.O.B
LAMAZ SPAN K.O.B
LAMAZ SPAN K.O.B

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl