Asante Lyrics by KELSY KERUBO


Ingekuwa mimi,kama si neema yako
Hapa nilipo singefika,kwa uwezo wangu
Wengi wamepoteza maisha yao
Si kwamba mi mtakatifu
(Niliye mnyonge tena mdhaifu umenihifadi)

Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu

Miaka mingi imeshapita
Umenilisha kanivalisha
Mafanikio nimeyaona, kweli wewe ni Mungu
Katika huzuni zangu, wanifariji
Sitapungukiwa na kitu
(Niliye mngonge tena mdhaifu umenihifadhi)

Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu

Watch Video

About Asante

Album : Asante (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Jul 16 , 2021

More KELSY KERUBO Lyrics

KELSY KERUBO
KELSY KERUBO
KELSY KERUBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl