
Asante Lyrics
Asante Lyrics by KELSY KERUBO
Ingekuwa mimi,kama si neema yako
Hapa nilipo singefika,kwa uwezo wangu
Wengi wamepoteza maisha yao
Si kwamba mi mtakatifu
(Niliye mnyonge tena mdhaifu umenihifadi)
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Miaka mingi imeshapita
Umenilisha kanivalisha
Mafanikio nimeyaona, kweli wewe ni Mungu
Katika huzuni zangu, wanifariji
Sitapungukiwa na kitu
(Niliye mngonge tena mdhaifu umenihifadhi)
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Asante Asante
Umekuwa mwaminifu,umenipa uhai
Kwa wema na baraka, nimejua wewe ndiwe, unafaa sifa zangu
Watch Video
About Asante
More KELSY KERUBO Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl