Sawa Lyrics by JUX


Huna kama cha mapinzani
Kila siku matatizo
Inaniadhiri ndani kwa ndani
Naikosa chanjo oh hoo

Acha visa nazo unanikula moyo
Usingizi sipati 
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni

Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, ah na sawa

Huishiwi kisirani
Yaani kila muda umenuna
Sasa mimi nitaongea na nani?
I wish ungejua inavyouma

Yaani bora nilewe, usingizi sipati 
Kisa kwako sina maamuzi
Mdomo koma umenipa upofu wa moyo
Jicho la nazi mama, kwako sioni

Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Sawa, sawa

Nimeshika makali mimi wewe
Nasema sawa, sawa
Unikate vipande vipande
Mama sawa, ah na sawa

Watch Video

About Sawa

Album : Sawa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 African Boy
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 05 , 2021

More JUX Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl