JUX Nidhibiti  cover image

Nidhibiti Lyrics

Nidhibiti Lyrics by JUX


Una hali gani unayefanya moyo wangu unadadarika
Niko twabani umeniacha dakika mbili tu nishaboreka
Umeniweka rehani
Changu kiwiliwili moyo umeuteka
Umeniathiri honey nshaaribika mbaya kwa yako makopa
Kama mapenzi kitabu
Ungekuwa kurasa ya katikati
Ukichanwa wewe stori haiendelei
Aah aah nakupenda mpaka adhabu baby nahisi kuna hatihati
Ukiniacha wewe walahi mimi sitoboi
Honey honey (Honey) Wangu wa ubani bani
Mimi ndege wako sa manati ya nini
Nakupa ruhusa wee

Nidhibiti Nidhibiti Nidhibiti
Nakupa ruksa wee
Nidhibiti Nidhibiti Nidhibiti

Ewee baby (Ewee baby)
Mke wangu (mume wangu)
Mimi na wee hadi milele
Ooh mbivu ziwe mbichi ni vya kwetu sisi
Sijali nisharidhia yayaah
Wabaya wanafiki watafute viti wakae kwa kutulia hayaa
Upendo kwetu faradhi umepita tsunaa
Rabiii atuhifadhi mpaka kufika chanaa
Ooh na mimi kwako ni radhi kufa kuzikanaaa
Waambie wavunje nazi si tumeshindakana
Honey honey (Honey)
Wangu wa ubani bani
Mimi ndege wako sa manati ya nini
Nakupa ruhusa wee

Nidhibiti Nidhibiti Nidhibiti
Nakupa ruksa wee
Nidhibiti Nidhibiti Nidhibiti

Watch Video

About Nidhibiti

Album : King of Hearts (Album)
Release Year : 0
Copyright : © 2022 @AfricanBOY REC
Added By : Farida
Published : Dec 01 , 2022

More JUX Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl