Kucha Lyrics by JUMA NATURE


Ni mzuri ang'ara ng'ara mpaka kwenye kioo
Anapenda mgumu kama mimi hampendi bishoo
Hajaungwa kwa wese la mchina kaungwa na nazi huyoo
Nusurobo atingize kiuno engineer soma iyoo

Hataki hataki watoto wadogo watampa nini huyo
Ni pini kali huyo ni pisi nadhani uno
Na ana mafumba huyo Chege mkamate huyo
Aje Kigoma huyo na akibonda huyoo

Mkali huyo, nanana.. mkali huyo
Mkali huyo, amenona huyo

Mtoto unang'ata kucha unang'ata
Mbona unang'ata ma mdogo kucha unang'ata
Mtoto unang'ata kucha unang'ata
Mbona unang'ata kwa aibu kucha unang'ata

Marashi ya karafuu yanaponesha flu
Uzuri wako tu unanikuta niko juu
Mpole mtoto wa watu wala hanaga makuu
Uzuri wako tu mtoto nakuweka juu

Mkali huyo, nanana.. mkali huyo
Mkali huyo, amenona huyo

Mtoto unang'ata kucha unang'ata
Mbona unang'ata ma mdogo kucha unang'ata
Mtoto unang'ata kucha unang'ata
Mbona unang'ata kwa aibu kucha unang'ata

Marashi ya karafuu yanaponesha flu
Uzuri wako tu unanikuta niko juu

Jiachie ng'ata kucha mpaka kuna kucha (Kucha)
Wacha wabanwe na chuki pilau wananusa (Nusa)
Wakali wote wa mtaa ona wanapanguza (Nguza)
We niache nicheze na mchumba usijeniguza (Guza)

Mtoto unang'ata kucha unang'ata
Mbona unang'ata ma mdogo kucha unang'ata
Mtoto unang'ata kucha unang'ata
Mbona unang'ata kwa aibu kucha unang'ata

Mkali huyo, nanana.. mkali huyo

Tumezima vibatari, zii ah zima tu
Zima vibatari, zii ah zima tu
Zima vibatari watu wote tuzime vibatari

Tumezima vibatari, zii ah zima tu
Zima vibatari, zii ah zima tu
Zima vibatari watu wote tuzime vibatari

Zii ah zima tu,  zii ah zima tu
Zii ah zima tu,  zii ah zima tu

Watch Video

About Kucha

Album : Kucha (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 23 , 2021

More JUMA NATURE Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl