Fahamu Lyrics by JIMMY CHANSA


Sina kizunguzungu
Mama you tell me far away
Namshukuru Mungu 
Kunikutanisha mi na wee yeah

Kuna wengi nimeona 
Vingi nimeongea 
Ila wee unachoma
Kila ukisogea

Na me sioni sisikii 
Kwa vile unavyonipa Mama 
Sababu nakupenda sana 
Na vile ulivyonipa jana niongezee

Tena sioni sisikii
Kwa vile unavyonipa Mama 
Sababu nakupenda sana 
Na kile ulichonipa jana niongezee

Mi nataka ufahamu (Mimi kwako siwezi)
Mi nataka ufahamu (Ninavyokupenda mama nah nah)
Me nataka ufahamu (Upendo wangu jinsi ulivyo kwako mama)
Me nataka ufahamu (Nataka aah! ah nataka)

Mi nataka (Twende nyumbani)
Mi nataka (Na kanisani)
Mi nataka (Aah! Wewe na Mimi, milele aah)

Mi nataka (Twende nyumbani)
Mi nataka (Na kanisani)
Mi nataka (Aah! Wewe na Mimi, milele aah)

Baby girl, mi nishakuja kukupika
Tukale bata la maisha mimi na wewe 
And I know, mashoga zako wakutisha
Eti kudanga ndo maisha acha unielewe

(Nah nah nah nah..)

Twende baby mwananjenje
Kimahaba wee unicheze 
Upande ushuke nami nideke 
Mi mama

Tena sioni sisikii
Vile unavyonipa Mama aah
Sababu nakupenda sana
Na kile ulichonipa jana niongezee

Mi nataka ufahamu (We ndo wa ubani)
Mi nataka ufahamu (Na kwangu una thamani)
Mi nataka ufahamu (Tumeanza toka zamani)
Mi nataka ufahamu (Nataka mimi ah! ah! nataka)

Mi nataka (Twende nyumbani)
Mi nataka (Na kanisani)
Mi nataka (Wewe na Mimi milele)

Mi nataka (Twende nyumbani)
Mi nataka (Na kanisani)
Mi nataka (Wewe na Mimi milele)

Watch Video

About Fahamu

Album : Fahamu (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 12 , 2021

More JIMMY CHANSA Lyrics

JIMMY CHANSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl