Nitaamini Lyrics
...
Nitaamini Lyrics by ISRAEL MBONYI
Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini
Satajitia unajisi , Chakula cha ufalme
Na Sitauza urithi wa wokovu, anasa za Kisasa
NiNa uhakika waweza , waweza kuniponya
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu
Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote, Bado nitaamini
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote, Bado nitaamini
Hata usiyafanye hayo yoote, Bado nitaamini
Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini
Satajitia unajisi , Chakula cha ufalme
Na Sitauza urithi wa wokovu, anasa za Kisasa
NiNa uhakika waweza , waweza kuniponya
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu
Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote, Bado nitaamini
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote, Bado nitaamini
Si Mara y’a kwanza kunitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu
Ni na historia maalum,We ni chemchem ya uzima
Si Mara y’a kwanza kunitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu
Ni na historia maalum,We ni chemchem ya uzima
Si Mara y’a kwanza kunitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu
Ni na historia maalum,We ni chemchem ya uzima
Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote, Bado nitaamini
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote, Bado nitaamini
Nitaamini, bado nitaamini
Ukiniponya nitaamini, Hata usiniponye bado nitaamini
Ukinijibu nitaamini , Hata usinijibu bado nitaamini
Ukibadilisha nitaamini , Hata usibadilishe bado nitaamini
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu
Watch Video
About Nitaamini
More ISRAEL MBONYI Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl