TONZI Shukuru cover image

Shukuru Lyrics

Shukuru Lyrics by TONZI


[CHORUS]
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru

[VERSE 1]
Na wewe ni neema zinazokupa uhai
Maishani uliepuka mabaya mengi yaliyoweza kukuua
Lakini kwa neema za Mungu za kila mara akakurinda
kumbuka kushukuru kwa neema zake Mungu
Na wewe ni neema zinazokupa uhai
Maishani uliepuka mabaya mengi yaliyoweza kukuua
Lakini kwa neema za Mungu za kila mara akakurinda
kumbuka kushukuru kwa neema zake Mungu

[CHORUS]
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru

[VERSE 2]
Anatulinda hasinzii,huwa macho kila mara
Ingawa tunaona hatari,tukakata tamaa
Anakujya kutubembeleza tukaimba shukurani
Huigeuza huzuni yangu kuwa furaha
wakati wa kulia ukaisha nibaki nikiimba shukurani

[CHORUS]
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Shukuru Mungu Shukuru Mungu
Maisha yako ni kwa neema zake
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukuru
Siku zote ukiwa na Uzima
kumbuka kumshukurU

Watch Video

About Shukuru

Album : Shukuru (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Oct 23 , 2020

More TONZI Lyrics

TONZI
TONZI
TONZI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl