IBRAAH Wandoto cover image

Wandoto Lyrics

Wandoto Lyrics by IBRAAH


Nahisi kama naota
Na kumbe reality tayari
Aliyefanya nateseka 
Ni wewe

Na nafsi inachochota
Najipa imani sijafeli
Nahitaji faraja
Hata chembe nipewe maa

Macho pembeni nisikupe pesa
Kwako yaani nishafika
Kumbe makucha uliyaficha
Na ushanikwarua ooh

Na zangu hisia umeziteka
Nilipokosea sawazisha
Usije hadharani kuanika
Ukaniumbua oh nah nah nah

Na nakuombea Mungu
Akuepushe na mabaya
Hali dhiki mafungu
Ila la kwangu ndo limepwaya

Nalia nalia kwa uchungu
Umenitoroka nyuma ya idhaya
Ni wewe japo nilikudhamini
Na nikakuitaga

Wandoto wandoto
Wandoto, wandoto
Ah ni wewe wa ndoto
Leo penzi umeliweka vikwanzo

Wandoto wandoto
Wandoto, wandoto
Wandoto uliyekuwa ni wewe
Na kichwa umekiachia mawazo

(Oooh ooh, aah yeiye)

Kweli usiku wa giza usilolijua
Sikuwaza, sikudhania kuwa utanibagua
Sa unafikiri nani wa kupika pakua
Ni wewe

Kishida kijiba cha roho mwenzako naugua
Haya no commando siwezi jipindua
Nawe ndo dereva umezamisha mashua 
Ni wewe ni we eh

Ila mwenzako bado bado
Moyo unasonona
Manati bila kipago
Nikuulize wapi uliona

Mi nina uzoefu wa kufunga goal
Uvivu wa kufua foronya
Yaani siamini yes umegeuza no
Na kwako mi mtoto nahitaji nyonya

Wandoto wandoto (Ni wewe)
Wandoto, wandoto
Ah ni wewe wa ndoto
Leo penzi umeliweka vikwanzo

Wandoto wandoto
Wandoto, wandoto

Watch Video

About Wandoto

Album : Steps EP/ Wandoto (EP)
Release Year : 2020
Copyright : (c) Konde Gang Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 08 , 2020

More IBRAAH Lyrics

IBRAAH
IBRAAH
IBRAAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl