Shukrani Lyrics
Shukrani Lyrics by GOODLUCK GOZBERT
Nina kushukuru Mungu sababu ya mengi, hata uhai huu sikustahili
Nina kushukuru Mungu tena sababu ya vingi, hata nikiwa nasali unajua namaanisha
Sio kama eti nilitenda wema wakuja linganisha na matendo yako makuu mimi Mungu ningekulipa nini
Ulikonitoa ni siri ya moyo matopeni topeni ukaniketisha na wakuu juu
Nina kushukuru Mungu sababu ya mengi, hata uhai huu sikustahili
Umenipa heshima ukanifuta machozi asante ooh baba
Hata shukurani zangu ni kwako
Shukrani zangu ni kwako
Na shukurani zangu ni kwako
Shukurani zangu ni kwako, asante baba ooh
Aibu umefuta fedheha umefuta
Umenipa amani iliyo ya kweli nakumbuka nalia mimi ni yule ambae
Nilitukanwa na kwa dharau wakasema kwisha habari yake kuna kipindi nilikufa nikawa mifupa inayotembea
Ikiwa kwa siku za usoni walisema tunazika kesho ila kwa huruma uliniponya na kaburi kwa hurumaa na sitosahau wema wako wee baba
Watch Video
About Shukrani
More GOODLUCK GOZBERT Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl