FRED MSUNGU Nisaidie  cover image

Nisaidie Lyrics

Nisaidie Lyrics by FRED MSUNGU


Mateso yakizidi, hofu hutawala
Hakuna tumaini, lini yatakwisha?
Imani yatoweka, hakuna tumaini
Mungu wangu nisaidie

Hakuna hata mmoja aniwazie mema
Adui wamezidi rafiki wageuka
Sioni hata mmoja wa kunisaidia
Baba wewe, Mungu wangu nisaidie

Ninapoonewa ninapolemewa
Giza likitanda 
Nguvu zikiisha
Mungu wangu nisaidie

Nakungoja wewe nipe nguvu mpya
Nipeperuke kama tai nitembee bila choka
Nipige mbio mbele bila kuzimia
Mungu wangu nisaidie

Nimeshajinyonyoa manyoya
Nimeparua kucha kwa amani
Nimepunguza uzito wa mwili
Niko tayari kuruka tena

Maisha yangu ya pili mazuri
Kulinganisha na yale ya kwanza
Niko tayari ninazo nguvu
Kama tai

Ujana wangu umerejea
Maisha yangu yamerejea
Sasa niko na nguvu 
Sionewi tena

Ninapoonewa ninapolemewa
Giza likitanda 
Nguvu zikiisha
Mungu wangu nisaidie

Nisaidie,nisaidie
Nisaidie, nisaidie

Wale wamngojao Bwana
Watapata nguvu mpya
Watapaa juu kwa mbali
Kama tai oooh

Ninapoonewa ninapolemewa
Giza likitanda 
Nguvu zikiisha
Mungu wangu nisaidie
Mungu wangu nisaidie

Ninapoonewa ninapolemewa
Giza likitanda 
Nguvu zikiisha
Mungu wangu nisaidie
Mungu wangu nisaidie

Watch Video

About Nisaidie

Album : Nisaidie (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 14 , 2019

More FRED MSUNGU Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl