
Paroles de Sina
Paroles de Sina Par ZEE
Naalia mambo ni mengi
Sipati jibuu
Naumia visa ni vingi
Maajaribuu
Silali(Haiya)
Nasinziaa kutwa nawaza waza
Hatarii nitajifia
Yaani nawaza waza
Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye
Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)
Usingizi sina
Matanga na mimi
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina
Hivi ni nani mwenye penzi
La dhati nimpokee(Nimpokee)
Aso kisirani nikivunja
Masharti atanisamehe(Atanisamehe)
Kama yule Sesi na Juma
Hamisi na Mwajuma, wana enjoy
Asiwe kapasta na suma
Chaku nunanuna, sitaenjoyy
Haya haiyaaiyaa (Moyo nina moyo)
Hayaa ah haiyaiyaiya ha(Nna moyoo)
Hanipi mapenzi ataka nimpe yeye(Moyo we nna moyo)
Hanilishi nishibe ataka ale yeye
Usingizi sina
Usingizi sina
Usingizi sina
(Sina sina)
Usingizi sina
Matanga na mimi
Mi na matanga ka popo
Usingizi sina
Ecouter
A Propos de "Sina"
Plus de Lyrics de ZEE
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl