ZABRON SINGERS Mkono Wa Bwana cover image

Paroles de Mkono Wa Bwana

Paroles de Mkono Wa Bwana Par ZABRON SINGERS


Mengi mazuri tumeyaona, Mungu umetenda
Ni kweli we muweza
Ulitamka vitu vikawa
Neno tu latosha
Ukisema umetenda
Bahari shamu Isiraeli
Ah uliwavusha
Kawatoa utumwani
Watumishi wako umewapa
Yote waombayo
Ikiwa umependezwa
Uamulo hakuna wa kulipinga
Hakika we ni Mungu, wa vyote
Unatawala dunia na vilivyomo
Makuu umeyatenda, Jehova

[CHORUS]
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako

Ona, ona , ona, ona ?
Msalabani ulitufia, hm ulitupenda
Dhambi zetu ukabeba
Baraka zako tuliziomba kweli tumeona
Hakika unabariki
Hata vipaji we ndo hutoa umetuwezesha Tunaimba na kusifu
Walio haki hutowaacha, uliwaahidi
Hata mwisho wa dahari
Hm watu wako umewapa mamlaka
kwa jina lako Yesu
Waponye
Na huna ubaguzi Wote ni sawa kwako
Umetuita Yesu, tupone

[CHORUS]
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako

Ona, ona, ona, ona?
Daima we umwema tutaishi kwako
Ona, ona, ona, ona?
Daima we umwema tutaishi kwako
Ona, ona, ona, ona?
Daima we umwema tutaishi kwako

Ecouter

A Propos de "Mkono Wa Bwana"

Album : Mkono Wa Bwana (Single)
Année de Sortie : 2019
Ajouté par : Farida
Published : Feb 07 , 2020

Plus de Lyrics de ZABRON SINGERS

ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl