Paroles de Achia Remix Par YJ


Yj Tz Feat Nay wa Mitego x Stamian x Mr T Touch - ACHIA REMIX lyrics

 

Wananiita Samata, Mr Goa, Mr Genki
Msanii pekee mwenye account kwenye power benki
Mnahitaji connections sio bundles we mtoto ni msoto
Mnakosa kazi hadi kazi moto

Mkiona nimewaka usiniwashe
Stimu zikidondoka msizidake
Wale magang gang msinifute
Jeshi la mtu mmoja nawa J yaani mwake babake

Wanangu mnakunywa ngumu kunyweni mnaogopa nini?
Mungu anaonaga roho wala haonagi maini
Kutoka Moro town, bushi bushi mgeita
Nishamaliza hii verse Bobo please mwiite waiter

Hata nikihonga billioni eeh
Sibaki kilioni eeh
ATM kibindoni eeh
Ina billioni eeh

Achia, usifunge mkanda
Achia, hapa hakuna majanga
Achia, ni kushuka kupanda
Achia, aii mamacita

Wengine wameshatotoka-ka
Wengine wamegoma kuondoka-ka
Wengine wameshadoro
Wengine wamesahau walipotoka

Nina mudi ya kutunza leo
Juu yake akatike nimpe cheo
Aya peke ka pekeo
Aya, aya kula pembejeo

Matikitaka tikikata 
Mama na tikita
Matikitaka nawe na matikita
Mama na tikita
Matikitaka nawe na matikita

(Mama na tikita)
(Matikitaka nawe na matikita)

Hata nikihonga billioni eeh
Sibaki kilioni eeh
ATM kibindoni eeh
Ina billioni eeh

Achia, usifunge mkanda
Achia, hapa hakuna majanga
Achia, ni kushuka kupanda
Achia, aii mamacita

Haya midondo hii nishapagawa
Fisi anakula bila kunawa
Ayo pusha, tembe za dawa hakuna kulala
Yaani kama sherehe haha we on fire

Okey moja moto, moja baridi wape mabinti
Tingisha kalio nikuone juu ya kiti
Kwani vipi? Hautaki
Ukishalewa unashika madem matiti(Wewe)

Mchana tuna visago, usiku tunalewa(Lewa lewa) 
Tunavuja jasho hatutaki cha kupewa(Pewa pewa)
Simsima, who got the keys to my bima
Waiter leta bill kuna watu wamezima

Hata nikihonga billioni eeh
Sibaki kilioni eeh
ATM kibindoni eeh
Ina billioni eeh

Achia, usifunge mkanda
Achia, hapa hakuna majanga
Achia, ni kushuka kupanda
Achia, aii mamacita

 

Ecouter

A Propos de "Achia Remix"

Album : Achia Remix (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Feb 04 , 2020

Plus de Lyrics de YJ

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl