WAKALI WAO Waiter cover image

Paroles de Waiter

Paroles de Waiter Par WAKALI WAO


Ah hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Hii stori inanibamba, na pia inaniguza
Leo ni kusere pamoja na wasupa 
Tuko ndani ya bukla tumeshika machupa
Speed ndogo ndogo hakuna cha pupa

So, ita waiter ekelea makali mezani
Wakali mafathe hucheza magizani
Makali ma Barley najua hawawezani
Machali, machile tuwapeleke kejani

Ah, hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Kuzitoka kubanjuka, jiachilie mabega
Kama tu wahenga, kanashikanga kapienga
Mchuma ndani kwa toja nimejipin ndeng'a
Ngeus huku akinena ni marungu kumzeka
Nipige ka firimbi, nipulize ka kipenga
Mashot, nizisend, areceive kama Sender
Piga dry chok, iko form ukichomwa
Morio ngori tuko chuom, tenje anatokwa

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Nishaspoti kadem niko isaa ya kushuka
Kajing nishatema niko isaa ya kutuna
Cheki tu ni late, haraka si hatuna
Walenje tu kwa pori ninaskia inakuna
Mi nakata maji, hadi isinichome liver
Na tire nitawasha, nitachoma nitaiva
Alafu late night, ni kuteka tu madiva
Kwanza ni ka nyako, mahaga kameiva

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili yaani weka adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Hebu waiter leta leta bia 
Leta glass mbili  weka yaani adisia
Kuja tu na bill yaani mi nagharamia
Ni kujinyc kujinice hadi gware 

Cheki, 
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now
Ni kuzitoka, ni kubanjuka
Ni kukatika ata kama zimeshika now

Ecouter

A Propos de "Waiter"

Album : Waiter (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 Wakali Wao.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 10 , 2019

Plus de Lyrics de WAKALI WAO

WAKALI WAO
WAKALI WAO
WAKALI WAO
WAKALI WAO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl