TUNDA MAN Mpunguze  cover image

Paroles de Mpunguze

Paroles de Mpunguze Par TUNDA MAN


(Touch Touch Touch)
Oh my 

Ushkaji ushakaji noma sana
Washikaji wengi ni masnitch sana
Ushkaji gani kubishana nyuma
Ona tat na sudi wameshaharana jana

Mshikaji vipi
Nikiondola kisogoni mnaning'onga
Yaani kwani vipi?
Mnaropoka hadharani nakuona

Mshikaji gani nikikosa mwana nikipata unavunja
Nikizipata unataka ule nao ila zenu mnavunga
Sio mwanangu nishakudelete
Nishajua kuwa we snitch
Unamkuwadia dem wangu vipi?
Kigegu unakataa kulipa

Kama rafiki humwelewi, mpunguze
Kuropoka ropoka hachelewi, mpunguze
Ukimuona sio, mpunguze
Anapenda mademu wa wenzio, mpunguze
Anapenda bata hana kazi, mpunguze
Rafiki gani huyu dwanzi, mpunguze
Rafiki gani kwenye raha, mpunguze
Kwenye shida mbali anakaa, mpunguze

Yeah kuna tofauti ya mwana na rafiki yeah
Mwana wa wsaliti, mwana anaweza kuwa mcheshi kumbe ni mnafiki
Mwana akipata kidogo anajiona pipi
Mwana haambiliki sasa huyu ni mwana au ni kiti
Nishaikuwa na mwana fulani hivi
Tz tunavizia kujiona kwenye TV
Tulicho mshamba ka zubeda prof chizi
Uliza siku hizi nani ananipimbia kama pisi  na ni mchizi
Mwana gani anakukata mkono, mwana hanyamazi mpaka ananuka mdomo
Anasambaza umbea kama anakufanyia promo
Na wewe mnyenyekevu kama mwali uko na somo

So wana wa kuzushia punguza, masnitch punguza
Wana wa  virungu mi mwenyewe nishawapunguza
Wana wa kuropoka ndio nuksi ukimwona mpenzi wangu ako na mchizi
Ukiniambia nakupunguza pumbavu

Kama rafiki humwelewi, mpunguze
Kuropokaropoka hachelewi, mpunguze
Ukimuona sio, mpunguze
Anapenda mademu wa wenzio, mpunguze
Anapenda bata hana kazi, mpunguze
Rafiki gani huyu dwanzi, mpunguze
Rafiki gani kwenye raha, mpunguze
Kwenye shida mbali anakaa, mpunguze

(Take 5 now)

Kama rafiki humwelewi, mpunguze
Kuropokaropoka hachelewi, mpunguze
Ukimuona sio, mpunguze
Anapenda mademu wa wenzio, mpunguze
Anapenda bata hana kazi, mpunguze
Rafiki gani huyu dwanzi, mpunguze
Rafiki gani kwenye raha, mpunguze
Kwenye shida mbali anakaa, mpunguze

 

Ecouter

A Propos de "Mpunguze "

Album : Mpunguze (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 04 , 2021

Plus de Lyrics de TUNDA MAN

TUNDA MAN
TUNDA MAN
TUNDA MAN
TUNDA MAN

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl