MR BLUE Watakubali cover image

Paroles de Watakubali

Nouveau single "Watakubali" du rappeur tanzanien Mr Blue avec le prochain artiste Allio...

Paroles de Watakubali Par MR BLUE


Hii game ni yangu Bizzey
Kila wakiniona ninayo na sijazaliwa nayo
Nachana naachana nayo sina mpango nayo
Atazileta tu habari zenu Millard Ayo
Watajileta tu MCees wenu wafuate nyayo

Leo nawarusha old school mambo hayo
Wakiskia voom voom link kwenye bio
Collabo na dullayo 
Nawapiga chega na tobo za dumayo

Hey hey mr habari kwa leo n hayo
Kicheche mpenda pesa ushafika kwa Mr Shayo
Mcee mwenye presha kachimbe kaburi lako
Kipaza, kipaza, kipaza sauti
Mamatha, mabratha, mafather saluti

Dunia inashangaza utashangaa mpaka umauti
Madogo wakulungu watume nyuti
Hatukurupuki kunyesha tunanyesha baba
Hatuchuruzuki tumechill tuko full
Hatufurukuti vichwa havizunguki

Vichwa hivi vichwa sio vichwa mikuki
Vichwa ukiweka vichwa tunavishuti
Vichwa akili fupi, vichwa vinawaza chupi
Vichwa vinamwiga Snoopy stupid
Hawamjui Mungu yupi

Wakiwa na dili ukitaka dili hawakupi
Wakiwa na siri sio siri tena haivuki
Ukimfuata mtu mbili ngoma mbili hawainuki
Piga chenga za mwili kifuti na mashuti

Mamluki wanajifanya hawakumbuki
Kumbusha kwa rhymes usitumie bunduki
Jeshi moja mtu mmoja, majeshi kama nyuki
Boy hausanuki ati kwao kinanuka
Mbona kwetu hakunuki ndege zetu anga zao
Kwetu haziruki, wapuzi

Kazi yetu ni miziki na miziki
Sisi wauza mikizi hatushiki bunduki
Hapa mistari tu
Kazi kwenu wanafiki wazaliki 
Walodhani hatufiki Mola yupo na sisi
Watakubali tu 

Ah kamanda kameza bomb manyota hewani
Game imesanda ipo kwa kamanda akiwa ndani
MC mjanja umeliona janja la zamani
Hauna mkwanja hauna jina nuna mpinzani

Subiri kwanza usimuulize mchawi nani
Mtulize mkeo atulie akienda kisimani
Muulize bwana sungura fisi ni nani
Usituletee kisirani kwani sisi nani?

Wanaume (Eeeh...)
Mwanaume ndo natoka na moka 
Naenda kufoka bila kuchoka 
We baba wee! Usimguze mke wa mtu 
Usidhubutu kula vya watu katu katu 
Na mwanangu black berry nyatu nyatu
Jibaba ukicheza alafu umepiga kavu

MC watu, leo MC wafu
Nawatafuna na ndizi choma pembeni ndafu
Alafu nawaonyeshea ubavu
Microphone we ndo baba
Microphone we ndo mama
Kama Yesu na msalaba
Kwa dunia na kiama

Toto ushalitaga nadeka kwa mama
Kote wananitaja nazeeka na learner
Nacheka na wana napeka na zana
Sijui kuiba najua kuchana
Sihitaji kahaba, makahaba mnajulikana

Na mmeshababa wakina baba mkhedhuli sana
Yeah wakina dada wanatupenda sana
Tuongeze ibada tumsifu bwana
Amani na upendo tumtukuze Bwana

Na nyie wana single 
Game msivuruge sana
Msiburuze sana 
Tumtukuze mama
Tuwatunze sana 
Wengine sana sana
Tutaongea tukionana poa poa

Kazi yetu ni miziki na miziki
Sisi wauza mikizi hatushiki bunduki
Hapa mistari tu
Kazi kwenu wanafiki wazaliki 
Walodhani hatufiki Mola yupo na sisi
Watakubali tu 

Watakubali tu, watakubali tu
Watakubali tu, watakubali tu
Yeah yeah...

Ecouter

A Propos de "Watakubali"

Album : Watakubali (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 01 , 2020

Plus de Lyrics de MR BLUE

MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl