MR BLUE Mungu Unanipenda  cover image

Paroles de Mungu Unanipenda

Paroles de Mungu Unanipenda Par MR BLUE


Baba shida zetu unazijua, unatujua
Baba tulitaka mwanga, umeleta jua
Baba yetu nakunjua, mabaraka tunadua
Kwenye ukame we ndo mvua
Baba mi ni wako hata ukinichukua

Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia

Baba wowowowo
Baba kanisaidia 
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Mimi mja wako mwenye huo uhai wako
Kwanini niringe kwako baba
Niko kwenye dunia yako nakula matunda yako
Hizi zote mali yako baba

Binadamu hawanipendi, ila Mungu ananipenda
Wachawi mko wengi, ila Mungu ni mmoja

Baba wowowowo
Baba nakutegemea
Dunia inanielemea
Ila nakuaminia

Baba wowowowo
Baba utaniokoa
Kwenye shida na raha
Kwenye dhiki na karaha
Baba utaniokoa

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Baba yangu unanipenda
Kweli baba unanipenda
Unanipenda yeah baba
Unanipenda, unanipenda
Baba unanipenda, unanipenda

Hata dunia ikinitenga, Mungu unanipenda
Mungu unanipenda, na wengine unawapenda
Hata dunia ikinitenga, Baba unanipenda
Baba unanipenda, na wengine unawapenda

Ecouter

A Propos de "Mungu Unanipenda "

Album : Mungu Unanipenda (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2021

Plus de Lyrics de MR BLUE

MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl