TIMBULO Sina Neno cover image

Paroles de Sina Neno

Paroles de Sina Neno Par TIMBULO


Zogo, kelele lawama nilizoea
Kila siku anakuja analia
Maneno nasikia

Rafiki zake wanasema
Mimi simfai kwa maisha
Ndugu jamaa wanasakama
Eti mi mhuni kabisa

Hawakujua unanipenda kiasi gani
Wasingedhubutu tenganisha
Sababu kwako kuishi ni mimi
Tukitengana takukosa

Si mi ndo nimekupa heshima
Hivi bado wananiona zero
Samaki bila ndimu mi nitachina
Okoa milinaodhawa yangu roho

Aah sina kinyongo nao
Ah nimewasamehe
Aah matabia zao
Aaah aaah 

Sina neno, moyoni, sina neno
Na makosa yote nimefuta mi nimewasamehe
Sina neno, moyoni, sina neno
Na mabaya yao nimeyafuta mi nimewasamehe

Sikutolewa nyongo nayo
Natamani nijiwekee mipaka
Ila no roho mbaya sina

Wanadamu tunapishana upeo
Ndio maana yote nimeyafuta
Tena hata kinyongo sina

Na wakasema sina lolote
Nitakupa nini
Hatutofika popote

We ukasema 
Mwendo wa chai na mkate
Umenishiba mimi
Wapi naenda nifuate ee

Nimeyabadili maisha yako nikakupa heshima
Hivi bado wananiona zero
Samaki bila ndimu mi nitachina
Okoa milinaodhawa yangu roho

Aah sina kinyongo nao
Ah nimewasamehe
Aah matabia zao
Aaah aaah 

Sina neno, moyoni, sina neno
Na makosa yote nimefuta mi nimewasamehe
Sina neno, moyoni, sina neno
Na mabaya yao nimeyafuta mi nimewasamehe

Ecouter

A Propos de "Sina Neno"

Album : Sina Neno (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jun 07 , 2020

Plus de Lyrics de TIMBULO

TIMBULO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl