SALOME WAIRIMU Ulisema cover image

Paroles de Ulisema

Paroles de Ulisema Par SALOME WAIRIMU


Moyo wangu una shauku
Ya furaha yako Mungu
Usiye na kinyongo 
Naomba uturehemu

Kama wana wa Israeli
Baada ya taabu jangwani
Hiyo raha ya kwenda Canaan
Ndio natamani

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Naomi akitoka Moabi
Baada ya jeraha la moyo
Akasema aitwe Mara
Kwa uchungu alioupata

Eeh Mungu mponyaji
Iponye nchi yetu 
Maana tuna majeraha moyo
Magonjwa mafuriko na njaa

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Kilicho mwanzo kina mwisho
Hivyo ndivyo walisema
Na pia kuna tumaini 
Baada ya mti kukatwa

Mti huo ukikatwa
Unapata kuchipuka
Tena na kilicholiwa na nzige
Utalipa mia kwa mia

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Ulisema utanijenga
Na kuiponya nchi yangu
Oooh eeh
Jithihirishe tukuone

Ecouter

A Propos de "Ulisema"

Album : Ulisema (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 08 , 2020

Plus de Lyrics de SALOME WAIRIMU

SALOME WAIRIMU

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl