Paroles de Goodbye Magufuli Par ROSA REE


Una maana kubwa umetuachia doa
Una maana kubwa umetuachia doa
Una maana kubwa umetuachia doa
Una maana kubwa umetuachia doa

Uuuh...uuuuh..uuuh...
Uuuh...uuuuh..uuuh...
Uuuh...uuuuh..uuuh...

Umeondoka umetuachia pengo hatuwezi kuziba
Vinazoeleka vyote ila si msiba
Umetuacha muda mbaya now how do you feel?
Na hukuaga wanao kwamba umesafiri

Ona mama unavyomliza analia tu
Rafiki ndugu jamaa wameumia full
Nabaki kumlilia Mungu kakupeleka wapi?
Kwanini asichukue wachafu anachukua wasafi

Kila nikiwaza nakumbuka it's more pain
Wewe ndo ulitupa moyo it's gonna be okay
Umesaidia masikini wasiojiweza
Wapi tutapata msaada upo kwa jeneza

Kwaheri shujaa uliyeleta furaha
Umetutoa nyumba za makuti tupo kwenye paa
Umetuachia jeraha, maumivu karaha
Uliwasaidia wengi wakati wa njaa

Una maana kubwa umetuachia doa
Una maana kubwa umetuachia doa
Una maana kubwa umetuachia doa
Una maana kubwa umetuachia doa

Uuuh...uuuuh..uuuh...
Uuuh...uuuuh..uuuh...
Uuuh...uuuuh..uuuh...

Aah, najiskia kuwa mzito moyoni
Hivi unaweza kuamka ama nipo ndotoni
Nahisi kama kuna kitu kimekaa kooni
Maana nikitazama mbele ni giza sioni

Ulikuwa kiongozi bora kwenye familia
Hukuitenge misaafu wala Bibilia
Umewaacha yatima wanakulilia
Buriani tunakuombea pumzika pia

Kila nikiwaza nakumbuka it's more pain
Wewe ndo ulitupa moyo it's gonna be okay
Umesaidia masikini wasiojiweza
Wapi tutapata msaada upo kwa jeneza

Kwaheri shujaa uliyeleta furaha
Umetutoa nyumba za makuti tupo kwenye paa
Umetuachia jeraha, maumivu karaha
Uliwasaidia wengi wakati wa njaa

So long fare well to you my friend
Goodbye for now until we meet again
So long fare well to you my friend
Goodbye for now until we meet again

Ecouter

A Propos de "Goodbye Magufuli"

Album : Goodbye Magufuli (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 19 , 2021

Plus de Lyrics de ROSA REE

ROSA REE
ROSA REE
ROSA REE
ROSA REE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl