
Paroles de Ananipenda
...
Paroles de Ananipenda Par RICH MAVOKO
Kana madimpozi akicheka ana mwaanya
Hana maringo hakataki kujuaana
Penzi limenogaa chuzi biriani
Yako inanitoshaaa, we ndio wa ubani
Mimi ni wake na ye wangu mi aahh
Tumeshibana kisawa sawa aahh
Sa kwengine mi nifuate nini aahh
Yeye tabibu ananipa dawa aahh
Ananipenda nami ninampenda kweli
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Aaahh
Bebiii nikuite nani iwe sawa
Huniii penzi letu nyunyuzia dawa
Bebiii nikuite nani iwe sawa
Huniii penzi letu nyunyuzia dawa
Mimi ni wake na ye wangu mi aahh
Tumeshibana kisawa sawa aahh
Sa kwengine mi nifuate nini aahh
Yeye tabibu ananipa dawa aahh
Ananipenda nami ninampenda kweli
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Ananipenda nami nimemweka moyoni
Ecouter
A Propos de "Ananipenda"
Plus de Lyrics de RICH MAVOKO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl