RAYVANNY Miss Buza cover image

Paroles de Miss Buza

Paroles de Miss Buza Par RAYVANNY


Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza
Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza

Rangi yake ya vidole kama ndizi za kuchoma
Harufu yake ya wigi unapata Corona
Hee kikipigwa kigodoro lazima utamuona
Shughuli hajaalikwa, kijola ka shashola

Ila chumbani si gogo mwali
Mbuzi kagoma kifo cha mende chali
Uvunguni sakafu juu ya dari
Ua mtoto anaupaka asali mama

Akiona simu anapita anapita nayo
Eh! Akiona walleti anapita nayo
Eh! Akiona dundo kali anapita nayo
Yaani akiona begi kali anapita nayo

Ana msitu kwapani dala kifuani
Kwenye dala dala anapita dirishani
Ghetto anazima taa, vipele mapajani
Ana dera jipya, chupi la zamani

Ah yo yo yo

Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza
Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza

Haya kelele ya kwanza kwa missi yake, weh
Kelele ya pili kwa missi yake, weh, weh
Kelele ya tatu kwa missi yake
Weh, weh, weh weh

Mtoto anachu chu, anachuchumia
Ana chu chu, mpaka nguo anavua
Mtoto anachu chu, anachuchumia
Ana chu chu, mpaka nguo anavua

Akivua shati muache, muache
Ameamua muache, muache
Akivua shati muache, muache
Ameamua muache, muache

Katikati nataka aloshindikana
Katikati nataka chura nyelana
Mwanangu katikati nataka aloshindikana
kati kati nataka chura nyelana

Basi twende tunaenda kushoto
Wanangu kushoto, aahuni kushoto, masisela
Turudi ulia, wanangu kulia
Masela kulia, wanangu

Basi twende tunaenda kushoto
Eh kushoto, wanangu kushoto, yii kushoto
Basi twende tunaenda kulia
Wanangu kulia, ati, ati....

Basi twende teremka
We mwanagu teremka
Teremka shika mabega teremka
Bwana teremka, masisela teremka

Teremka shika kiuno teremka
We mwanangu teremka, mama teremka
Teremka shika magoti teremka
Basi twende 

Nionyeshe unavyochumaga mchicha tembele
Nionyeshe unavyochumaga mchicha
Mama nioneshe unavyochumaga mchicha tembele
Nionyeshe unavyochumaga mchicha

Oya twende kama unalo tingisha, we mama tingisha
Tuone tingisha we dada tingisha
Kama unalo tingisha, we mama tingisha
Tuone tingisha, we dada tingisha

Eyooo Kenny

Basi twende shosho, we nioneshe sho
Style gani unacheza kidalipo
We mwanangu shosho, we nioneshe sho
Style gani unacheza kidalipo

Basi tuende kibaikoko we mtoto
Miguu juu ning'inia kama popo
Kibaikoko we mtoto
Miguu juu ning'inia kama popo

Unakaa chini unakwenda unakwenda unakwenda
Shika magoti unashuka unashuka unashuka
Na ka chini unakwendaa unakwendaa unakwendaa
Shika magoti unashuka unashuka unashuka

Basi twende timua vumbi timua, shemeji atafua
Timua vumbi timua, shemeji atafua
Bwana timua vumbi,  timua shemeji atafua
Timua tena timua, shemeji atafua

Wee Juma Lokole number 1
Kida mchoksi number 1
Hahaha Idriss wa kitaa number 1
Weeee Aristote
Wapi Uncle Shamte ongeza ah mama Dangote
Mwambie akatafte na vyumba havipangishwi
Eeh kidogo dogo msalimie Kenny
Tony Vumwe, Ricardo Momo
K Imani, Soni Weka
Eeh mwanangu Ommy Crazy 
Ommy Kichaa kini kazaa
HK HK wapi Wanjala?
Lengo Dangote nipelee
Ali mwa Kimwana Papichulo weee
Eeh baba Benami, baba Benami aiii
Ah wote, ah wote
RJ the Dj, all day 
Wananiitaga Dulla Makabila yaani King of Singeli
We Esma Platnumz anakusalimia mkubwa Fella
Waambie wasitume wavulana kwenye shughli za wanaume
Mmmh Dulla jamani tucharaze kitu gani?
Haijaisha tu, kama singeli ndo kurushana hivi 
Mi siwezi jamani inatosha
(Lazer on the Mix)

Ecouter

A Propos de "Miss Buza"

Album : Miss Buza (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020, WCB Wasafi.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 06 , 2020

Plus de Lyrics de RAYVANNY

RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl