NIMO Najua cover image

Paroles de Najua

Paroles de Najua Par NIMO


(Alexis on the beat)

Kuna wakati ulifika
Mbingu ilinyamaza sana kwa maisha yangu
Nikataka kwenda mbali na mbingu
Mambo ya kusifu sikutaka tena

Nikashindwa Mungu wangu yuko wapi?
Tena nikawaza bingu yangu iko wapi?
Nikakumbuka matendo yako uliyoyatenda

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Nakutumainia Bwana aaah aaah
Nakutumainia Bwana oooh 

Na nikiwa kwa uwepo wako
Mi najua mimi nitapona tena 
Na nikiwa kwa mwanga wako
Mi najua mimi nitaona tena, iyaa ah

We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu
We ndo chanzo cha maisha yangu
Uliniumba ili nikusifu

Daudi alikuita Baba kakuona
Pia Musa ye alikuona
Kwa maisha yangu pia nitakuona
Ntakuona

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Mi najua Baba, utaonekana tena
Mi najua Yesu, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena
Ah tena tena, utaonekana tena

Ecouter

A Propos de "Najua"

Album : Najua
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 Starborn Empire.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Apr 13 , 2020

Plus de Lyrics de NIMO

NIMO

Commentaires ( 1 )

.
6473 2020-04-13 19:54:41

Beautiful



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl