Paroles de Kinoma Par NIKKI WA PILI


I gotta hate y'all nigga 
Yeah, okey

Hela kama sina mi huwanga nadunduliza
Nikijumlisha ya hasira inakuwa kinoma island
Dem kama hataki mi huwaga nahonga sana
Na akijaga maghetoni namla kinoma island

Harusi kuchangia ni hiari
Lakini ona vile uyo mtu atakudai kinode island
Kodi sijashindwa kulipa nimechelewa
Unataka kunitolea vitu ile kinoma

Sisi machizi tunaacha
Ila madem wanaacha ile kinoma noma
Sisi machizi tunahonga
Ila madingi wanahonga kinoma island noma

Noma noma, jua noma noma
Ukiibutua, noma noma
Wataichukua, noma noma
Island kinoma noma

Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, eeh kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma

Okey, nani airidhishe, mziki wa jamii
Watu wanaimba matusi, kinoma noma
Kwenye mitandao, mengi maarifa
Ila watu wanagoogle matusi, kinoma noma

Huko darasani, hesabu huziwezi
Ila mjini unahesabu mabwana, kinoma noma
Umetoka kanisani, shetani humuwezi
Maana kwake kuna mabata, kinoma noma

Yeah, 
Kwenye ndoa mlokole, ukifanya polepole
Kwa mchepuko unapiga uno, kinoma noma
Soka the Bongo, Simba na Yanga
Na tunawanga kinoma island noma

Noma noma, jua noma noma
Ukiibutua, noma noma
Wataichukua, noma noma
Island kinoma noma

Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, eeh kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma
Kinoma noma, kinoma noma

Ecouter

A Propos de "Kinoma"

Album : Noma (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 07 , 2019

Plus de Lyrics de NIKKI WA PILI

NIKKI WA PILI
NIKKI WA PILI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl