...

Paroles de Ai Par NATACHA


Nilimpata mpenzi

Nikataka nimuoneshe shoo

Nikaingia kiwanjani bila jezi ah

Matokeo nimefungwa goo Eeeh

Nilijifanya fundi

Kitandani mpaka juu ya dali

Nampa yote siringi

Eh kilichonikuta kwisha habari

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma )

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma )

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma )

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma )

Mapenzi ya sikuizi kila mtu na wake

(kaa mbali na mpenzi wangu ntakupiga kofi wee)

Sikuizi kila mtu na baby wake

(kaa mbali na baby wangu ntakupa mashuti wee )

Ah kuna kitu kimoja honey anakichekesha

Usiku hataki tulale anataka kukesha

Nikimtazama babu juma ananesanesa

Naona aibu akitaka kuniogesha

Nilijifanya fundi

Kitandani mpaka juu ya dali

Nampa yote siringi

Eh kilichonikuta kwisha habari

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma)

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma)

Ai Baba kiuno uuma (aii baba kiuno uuma )

Ai Mama we mgongo uuma (aii mama mgongo uuma )

Ecouter

A Propos de "Ai"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Aug 05 , 2025

Plus de Lyrics de NATACHA

NATACHA
NATACHA
NATACHA
NATACHA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl