Paroles de Sondeka Part 2 Par NAIBOI


Eyoo ni DJ Shiti 
Aka Kolokolo Munyanye
Na leo tunataka kusondeka 
Tabia tofauti tofauti 
Ambayo hatupendi kwa hii jamii

Tabia ya maslayqueen 
Kula pesa ya wanaume 
Hata ya wale wa mjengo
Mtu mzima kukojoa kwa matandiko 
Halafu anawekelea watoto
Kutumia watu 'Please Call Me' 
Na uko na iPhone, Shindwe!

Rixx, finya hiyo kitu(Haa, Shaka)
Usibishane na babu wewe!

Tunasondeka iyee, tunasondeka(Are you ready?)
Tunasondeka, tunasondeka
Na tuko tu Pacho kwani boss(Rixx Matatizo)
Tunasondeka iyee, tunasondeka(Ah Naiboi)
Tunasondeka, tunasondeka
Tunarekebisha

[Exray- Boondocks Gang]
Are you ready?(Nai Nai)
Are you ready?(Nai Nai)
Nikuje?(Hapana) 
Nikuje?(Hapana)

Tunasondeka kwa charger hakuna socket
Si tu charge kwanza nishalipa token
Charger ya smartphone sina pin ndogo
Hakuna mangoko na hapa mi ndio jogoo

Niko na idea, chunga utaingia
Si rahisi uliza hadi Nadia
Mmmh mapunyeto saka una dhiki
Na mangeus wako ni mashabiki

Ikikataa there is no regretting
Tuna i-switch back to factory setting
Na mi ndo dawa kwa hizi factory zenyu
Nawaka ka star so mashawties wenyu
Wamenifuata mtaa, wanasoma menyu
Wamenipata njaa nadishi chakula zenyu
Leo nitaisondeka na hapa ndio venue
Chapati kalia mi nikicheza na ndengu

Onyesha hiyo mbegu, wee mi si kitabu
Ah siwezi someka, sipigi kavu
Ah siwezi chomeka(Boom)
Na bado naisondeka mpaka che 
Naipiga na naipika ilie kama fe

Ah back-up the place kama mende kwa giza
Bless so royal, alikuwa na mikono ya miujiza(Riswa!)
Nice pretty face with a bami ya Africa
Leo ni kuisondeka kama mpira LaLiGa

[Fena Gitu]
Tunaisafisha mitambo iyee
Tukizipeleka Wordwide
Ah Naiboi fanya mambo
Yeah we pray for your long life
Fix it Naiboi

Wasanii mpaka lini? Kukaliwa chini
Our whole lives ooh no
Round hii tumekam kuwakomesha
Round this tumekam kuwasomesha
Tunasondeka, tunasondeka
Eeeh, domo domo mpaka lini?
Ah usibishane na nyanya yao, unaboesha!

Tukisondeka, Tunasondeka tunasondeka
Tunasafisha mitambo, Tunasondeka tunasondeka
Nai mpaka ng'ambo, Tunasondeka tunasondeka
Sawa bless them Kingston, Tunasondeka tunasondeka
Tunarekebisha!

[Benzema aka Alejandro - Ochungulo family]
Alejandro, fisi fisi fisi fisi fisi
Alejandro, fisi fisi fisi fisi fisi
Pima miti utajua ni ya mluja
Shot nakupea moja ka ya Drogba
Kinyama nyama itabidi umengoja
Kuna line na hujapiga hata order

Uliota na kitu inakaa ka nyoka
Haina macho lakini inakuona
Inapenda kuingia na kutoka
Inapenda joto saa ya mboka

[Shiko Femi One]
Kevo anadai ananidai na hana ndae
Eti alipe Uber, Tunasondeka!
Kwa DM wanakaza wananisend nudes
Waone boobs na mathutha(Ate what?)

Behind the scenes nimecarry alot
Napiga matot kwenye parking lot
Ah, mbele mbele nawapita na force
Sidigi nyuma niwe chumvi kama bibi ya Lot

Sikuli doh ni kusave niwai shamba Namanga
Kwa border ndani ya ndae si unajua luku ni pamba
Kwa rap we ni pekedo vile nimewabamba
Niite Femi Uno and you know vile nawafanyanga

[Mordecai - H_art the Band]
Tumependa sana mikiki na mambo ya dunia
Mambo ya kujaza maji ndani ya gunia
Tulia, vulia lazima kuyaogea
Ujana ni moshi ndio maana unavutia

Raha jipe mwenyewe
Juu hakuna wa kulinganishwa nawe
Ukitingisha kiberiti
Chunga tu kulipua baruti mama

Nia ni ile ile
Asilimia vile vile
Kuja nawa mbona uje tule leo 
Watapiga vigelegele 
Na kesho wakusulubishe
Lazima tuwarekebishe 

Ndio maana
Tunasondeka, tunasondeka 
Oooh ikileta shida
Tunasondeka tunasondeka 

[V6 aka Visita]
Vruum! Gari ni biggy gurudumu(Wivu)
Hapo nyuma guza pumblu bum(Wivu)
Mwenye wivu ajichapa uchungu(Ni malaria uyo)
Piga umbu Doom!

Party namada, ka hunipati jo bila panty balaa
Basi kata ka nyama haina mifupa dada
Masomo niko sawa si nimewasoma ala
Ni satisfy, nikupe certificate haha

Ah-ah baby kamata madingo
Happy to be rumored I drove your ego
Na hivi ndo wataheshimu maandiko
Boy Naiboi ame ashame the Devil

[Khaligraph Jones aka Papa Jones]
Kwa social media unatutesa 
We ni baller unatuthago 
Vile umemako pesa(Tunasondeka)

Ati zako ni ma 5 star 
Na mtaa bado we hulalia 
Double decker(Tunasondeka)

Ati huwezi kula skuma
Umezoea chakula 
Ya Ole Sereni(Tunasondeka)

Kumbe we ni client 
Ile baze ya Nyaga 
Chapo ndondo 
Pia hukula na deni(Tunasondeka)

Ati juzi ulikuwa 
Holiday Dubai 
Sherehe na ni kaa 
Si hatujui(Tunasondeka)

But niaje tena ulionekana 
Nyama Kima ndani ya bus 
za kwenda Kitui(Tunasondeka)

Ati umeshika gari mbichi 
Ka zile sisi huona 
Kwa movie man(Tunasondeka)

Hiyo ni vako 
Si we hubebwa na Mwangi 
Ju najua uko nduthi gang(Tunasondeka)

Ati we na Uhuru 
Mko related 
So unataka tukuskize fiti(Tunasondeka)

Thats a lie 
Ju labda msee anakujua 
Ni Omwami ama Dj Shiti(Tunasondeka)

MCSK juzi wamentumia 
Thao mbili soo tano(Tunasondeka)

So naplan kuwavuruga 
Hizo peanuts hatutaki 
Ero kamano(Tunasondeka)

Naiboi to the World
No Mpasho,
Middle finger to the Paparazzi(Tunasondeka)

Kujifanya hautujui 
Si ni ufala
Vijana muwache mihadarati(Tunasondeka)

Ecouter

A Propos de "Sondeka Part 2"

Album : Sondeka Part 2 (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 Naiboi Worldwide/Pacho
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Sep 17 , 2019

Plus de Lyrics de NAIBOI

NAIBOI
NAIBOI
NAIBOI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl