Paroles de Hatuna Ratiba Par MR T TOUCH


Hatuna ratiba, toa ratiba
Hatuna ratiba, toa ratiba

Talk tutoe lock baba sa skia
Ratiba yangu inaanzia napo amkia
Naona toto ashanzia afu pisi ni kibao
Ukidrop tu location wanakutimbia

Wapi kuko lit check rada
I pull up with my gang gang
Napita kwa plan kula shada
Party at your own risk brother
Utamaliza hela hauwezi maliza baa mada

Boss hapingwi hapa mi moshi ni mingi
Tumeshaforce force no time ya kuboo kidingi
Na bila mtonyo hauvimbi, we jifungie ikibidi
Tu pisi utazila kwa macho, ukiwa broke haudindi

So wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Utembezi au Masaki (Toa Ratiba)
Leo wapi? (Hatuna ratiba)
Hamko serious (Toa Ratiba)

Oya wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Tunatoka saa ngapi? (Toa Ratiba)
Oya wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Tunatoka saa ngapi? (Toa Ratiba)

Nablow joint na blunt kabla ya kula
Na shot pale grant kuzima light mamedulla
Michongo inaenda ruler, swag ni camp mula
Lui V cap, Lui V kaptula

Sina ratiba kwani ratiba inasema inasema nini?
Biz boost nafanya matus na mapini
Nahizi kush akilini nikiswitch hawazimi
Wazushi kuwawini inabidi nipush lamboghini
Wahuni tunafanya watoto wanaruka fence
Waambie walinzi wenu hawawezi kunidefence
Niko tila lila VIP Kempinsky
So nashangaa mpaka leo bado nashare vi G bag

So wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Utembezi au Masaki (Toa Ratiba)
Leo wapi? (Hatuna ratiba)
Hamko serious (Toa Ratiba)

Oya wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Tunatoka saa ngapi? (Toa Ratiba)
Oya wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
(Toa Ratiba)

Leo Bongo kesho kwa ma diva
Leta mchongo tukuonyeshe mshale mpaka mida
Habari mko wapi mara mnatoka saa ngapi
Maswali ka afisa NIDA 

Si unacheki, manigga wamepoa kama wanajeshi
Ashajiseti wana wanashambulia na wanakaba
Full beki, haina uchambi full washikani
Popote kambi bro, ngoma ikianza chombo haisandi 
Mpaka majogoo, oh no ratiba za kifoo
Anzia Mbezi kazi ya Sinza sima Kariakor
Chaka to Chaka na chombo bado haijawaka
Ndo kuanza tungi la starter baby itisha kamata
Kwa ratiba tunatimba tu faster

So wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Utembezi au Masaki (Toa Ratiba)
Leo wapi? (Hatuna ratiba)
Hamko serious (Toa Ratiba)

Oya wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Tunatoka saa ngapi? (Toa Ratiba)
Oya wanangu leo wapi? (Hatuna ratiba)
Tunatoka saa ngapi? (Toa Ratiba)

Ecouter

A Propos de "Hatuna Ratiba "

Album : Hatuna Ratiba (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 10 , 2021

Plus de Lyrics de MR T TOUCH

MR T TOUCH

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl