Paroles de Subiri (Wait) Par MERCY MASIKA


[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana

[VERSE 1]
Usichukue njia ya mkato
Usipotoshwe na shauri la wasio haki
Heri mtu yule, afuataye sheria ya bwana
Atakuwa kama mti, kando kando ya maji
Huzaa matunda, kwa majira yake
Kila atendalo atafanikiwa

[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana

[VERSE 2]
Umekuwa na maswali mengi mno
Unashangaa mungu yuko wapi
Umebisha bisha mungu yuko wapi
Kufunga na kuomba
Kukesha na kuomba
Hupati majibu
Mungu sio mwanadamu, hadanganyi
Subiri kwa imani, subiri, wewe subiri

[CHORUS]
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja kumgoja bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana

Ecouter

A Propos de "Subiri (Wait)"

Album : Subiri (Wait)
Année de Sortie : 2019
Ajouté par : Farida
Published : Apr 13 , 2020

Plus de Lyrics de MERCY MASIKA

MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA
MERCY MASIKA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl